residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,012
- 9,593
CDM ni mahakama?Huyo siyo fisadi ni mgombea uraisi mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA! Aliyeshindwa kwa sababu kura zake ziliibiwa! Siyo fisadi, maana CHADEMA walimsafisha.
CDM ni mahakama?Huyo siyo fisadi ni mgombea uraisi mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA! Aliyeshindwa kwa sababu kura zake ziliibiwa! Siyo fisadi, maana CHADEMA walimsafisha.
Mchumia tumbo mkubwa yule, kipindi cha mchakato wa katiba mpya alikuwa real sana lakini baadaye aliramba matapishi yakeNoma sana! Mirija imekata na akili zimerudi.
Kuna kipindi fulani miaka ya nyuma niliwahi kuongea na polepole kipindi hicho alikua mkuu wa wilaya nadhani.
Huwezi amini ndio huyu wa sasa hivi kwa jinsi alivyokua anamponda Jiwe kuhusu maswala ya uchumi
Wanamuogopa so hawawezi kumwambia ukweliNi Rais mzuri sana, Mthubutu na Mtu anayejiamini mno ila kama kuna Kitu ambacho amefeli ni kupata Washauri ( Wasaidizi ) walio Wanafiki sana.
Akili zako zimejaa kinyesi kama fake id yako inavyojinasibu. Kwani nani anasifia kisa ni kabila moja? Kwani angefanya madudu na upuuzi ambao hauna manufaa kwa taifa nani angemsifia.Ni huu Kuamini kwamba mtu ukitoka nae kabila moja basi unatakiwa umsifie tu hata kama anakosea, ni ule wa kujiona kwamba sababu wewe mfumo uliopo unakufaidisha basi uamini kwamba hata kama wengi hauwanufaishi basi kwako ni sawa tu
Sawa wewe mwenye akili nyingi na real ID yako, ila mwambie Mjomba wako kama kweli anajiamini na hayo maproject yake basi aweke TUME HURU tuone, ye si anaamini anapendwa na kawatendea Mema Watanzania basi mwambie aweke TUME HURU tu sio mnategemea vyombo vya Ulinzi na usalama na Wakurugenzi, viongozi wa mikoa na wilaya sababu mliwaweka nyinyi. Muone kama mtashindaAkili zako zimejaa kinyesi kama fake id yako inavyojinasibu. Kwani nani anasifia kisa ni kabila moja? Kwani angefanya madudu na upuuzi ambao hauna manufaa kwa taifa nani angemsifia.
Mtu mpuuzi kama wewe hapo awali mlipinga ufisadi sasa umedhibitiwa mnajifanya kubeza.
Hizo zimeshakuwa hadithi za kitoto.Sawa wewe mwenye akili nyingi na real ID yako, ila mwambie Mjomba wako kama kweli anajiamini na hayo maproject yake basi aweke TUME HURU tuone, ye si anaamini anapendwa na kawatendea Mema Watanzania basi mwambie aweke TUME HURU tu sio mnategemea vyombo vya Ulinzi na usalama na Wakurugenzi, viongozi wa mikoa na wilaya sababu mliwaweka nyinyi. Muone kama mtashinda
Kwa sababu ya danganya toto yenu tu, mnafanya kuwarushia mbwa mnofu ili muibe zaidi kwenye nyumba kubwa, Wekeni TUME HURU na kila kitu kiwe wazi toka juu, halafu tuoneHizo zimeshakuwa hadithi za kitoto.
Kama tume sio huru mbona mlikuwa na wabunge 70+ bungeni.Hao walipatikanaje?
Kila kitu kiko wazi wewe mpenda makalio makubwa. Kila chama kinakuwa na wakala kila ngazi ya uchaguzi,kuanzia kituo mpaka taifa. Na matokeo yanasainiwa na mawakala n kubandikwa kila ngazi husika.Kwa sababu ya danganya toto yenu tu, mnafanya kuwarushia mbwa mnofu ili muibe zaidi kwenye nyumba kubwa, Wekeni TUME HURU na kila kitu kiwe wazi toka juu, halafu tuone
Kilakitu kiko wazi wewe mpenda makalio makubwa. Kila chama kinakuwa na wakala kila ngazi ya uchaguzi,kuanzia kituo mpaka taifa. Na matokeo yanasainiwa na mawakala n kubandikwa kila ngazi husika.
Jinsi makalio yako yanavyopekenyuliwa.Nini kipo wazi we malaya wa kimboka
Unaona sasa, ushalewa ukabila na ukijani wewe huwezi kusema ukweli. Mnajua kabisa Tume ni moja ya vitu vinavyowabeba.Kila kitu kiko wazi wewe mpenda makalio makubwa. Kila chama kinakuwa na wakala kila ngazi ya uchaguzi,kuanzia kituo mpaka taifa. Na matokeo yanasainiwa na mawakala n kubandikwa kila ngazi husika.
Kwa hiyo unapinga kwamba nchi yetu si middle income country?Ni lower middle income country