Nionavyo mimi:Ligi Kuu ya Vodacom Tz ingesimama kupisha Int'l break.

Ulimakafu

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
28,991
10,620
Kama wafanyavyo wenzetu Ulaya na kwingineko duniani,ligi yetu ya Vodacom ingekuwa inasimama ili kupisha michezo ya kimataifa.maana kwa sasa kuna timu zimeshacheza mechi tano zingine zina 2 tu,hivyo itapelekea upangaji wa matokeo baadae.
 
huwa ipo kwa simba na yanga na sasa hivi azam ila hawa wengine wanaendelea kucheza..

na hilo wazo lako ni zuri sana na ni endelevu..
 
huwa ipo kwa simba na yanga na sasa hivi azam ila hawa wengine wanaendelea kucheza..

na hilo wazo lako ni zuri sana na ni endelevu..
Nafikiri si Simba na Yanga,ila walikuwa na idadi fulani ya wachezaji kati ya 3-5,suluhisho ni kusimamisha ligi.
 
Nafikiri si Simba na Yanga,ila walikuwa na idadi fulani ya wachezaji kati ya 3-5,suluhisho ni kusimamisha ligi.

na shida nini mkuu tff bado kale ka usimba na yanga ndio kanawasumbua wao wanafikiria matumbo yao halafu pia karibu maamuzi mengi siku yako ki siasa zaidi..
 
na shida nini mkuu tff bado kale ka usimba na yanga ndio kanawasumbua wao wanafikiria matumbo yao halafu pia karibu maamuzi mengi siku yako ki siasa zaidi..
Hata iweje timu hizi lazima zibebwe tu,ama kweli.
 
Back
Top Bottom