Sasa kwani tuishi kwa mambo ya kivyama vyama na si maslahi ya taifa na Uzalendo wa kweli na sii uzalendo maslahi. Upo msemo maendeleo hayana vyama ila unatumika vibaya kwa wazalendo maslahi .Haya mambo hutokea pale ambapo unakifia chama afu hakioni juhudi zako,ndipo unageuka na kuwa muasi hata pascal manjaaa anadonge zito limemkaba kooni