IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Hebu ninyi watanzania nani kawaloga? Mbona mnaturudisha nginingi? nani kawambia kuwa nyekundu ni nyeupe? Mungu tusaidie ili kizazi kijacho kisije kikatuhukumu na kutuona tulikuwa matahira enzi zetu.
Ndugu zangu naomba muamke, msimame, pigeni mbiu, muikimbie aibu hii ijayo, utamuambia nini mjukuu wako wewe mwenye umri wa miaka 35 ziku hizo? Mmeuza kila kitu, wajukuu wako watakulaumu sana na watakwambia kuwa ninyi mlikuwa wavivu wa kufikiri na waoga.
Mtolewa amepatikana,mtetezi wa nginingi lakini bawabu mnamkwamisha,poleni sana,mmemsahau huyu bi kilembwe(ccn?), mnajua hujuma zake kweli? Mmesahau kwa kupitia wabunge wake ndipo serikari ya Giningi imejikosoa? Watanzania wamegundu uozo uliokisiri katika taifa letu? Nani wa kumvunja moyo?
UNA LAKO JAMBO, WEWE UNAYESEMA KUWA MBOWE NI FISADI, HAUNA HOJA, POLE SANA,ULIKUWA WAPI USIWAKILISHE HOJA HII TANGU ENZI HIZO?
Ndugu zangu wanaginingi tumuunge mkona Mbowe, mtu anayetumia hata rasimali zake ili watanzania tujikomboe kidemocrasia,acheni maneno watanzania.Nanyi mnaopokea chochote kitu toka kwa hao MAFISADI ILI MUWASAFISHE, DAMU YA WATOTO WENU IKO JUU YENU, NIMEWALAANI!!!!!
Wanaforum najua ninyi nyote mko mijini, umeme tele,maji tele, mmesahau taabu za ndugu zenu kule kijijini, ndiyo maana mnatoa hisia zenu za kuwatetea MAFISADI POLENI SANA, nawakumbuka ndugu zangu kule Kemange, Gamasara, Kilibo na hata Uchuna pasipo na umeme wa uhakika elimu duni na hata Afya ya jamii ni ndoto tu, namkumbuka mama yangu anayetembea muda mrefu tutweka hayo maji,huku wachache(viongozi) wakikwapua PESA za walipa kodi chozi linanilenga lenga, naukumbuka ule uta wangu na kale kasime kangu, nachelea kusema iko siku tutakwenda sawa.
Iko siku jua litashindwa kuzama........
Haiwezekani kabisa mijitu ineemeke yenyewe!!!!!
Huye mtoto wa masikini ndoto za kusoma chuo kikuu inaanza kuwa hadithi, hebu hiyo asilimia 40% iko wapi? laki nne ziko wapi,hebu mnajua hata njaa imeongezeka kule kijijini?
Watanzania jengeni Uzalendo, maslahi ya Taifa Mbele,acheni kuwasafisha Mafisadi na kuwapaka matope wakombozi wetu.
mwana wa Mwita nimesema.
Ndugu zangu naomba muamke, msimame, pigeni mbiu, muikimbie aibu hii ijayo, utamuambia nini mjukuu wako wewe mwenye umri wa miaka 35 ziku hizo? Mmeuza kila kitu, wajukuu wako watakulaumu sana na watakwambia kuwa ninyi mlikuwa wavivu wa kufikiri na waoga.
Mtolewa amepatikana,mtetezi wa nginingi lakini bawabu mnamkwamisha,poleni sana,mmemsahau huyu bi kilembwe(ccn?), mnajua hujuma zake kweli? Mmesahau kwa kupitia wabunge wake ndipo serikari ya Giningi imejikosoa? Watanzania wamegundu uozo uliokisiri katika taifa letu? Nani wa kumvunja moyo?
UNA LAKO JAMBO, WEWE UNAYESEMA KUWA MBOWE NI FISADI, HAUNA HOJA, POLE SANA,ULIKUWA WAPI USIWAKILISHE HOJA HII TANGU ENZI HIZO?
Ndugu zangu wanaginingi tumuunge mkona Mbowe, mtu anayetumia hata rasimali zake ili watanzania tujikomboe kidemocrasia,acheni maneno watanzania.Nanyi mnaopokea chochote kitu toka kwa hao MAFISADI ILI MUWASAFISHE, DAMU YA WATOTO WENU IKO JUU YENU, NIMEWALAANI!!!!!
Wanaforum najua ninyi nyote mko mijini, umeme tele,maji tele, mmesahau taabu za ndugu zenu kule kijijini, ndiyo maana mnatoa hisia zenu za kuwatetea MAFISADI POLENI SANA, nawakumbuka ndugu zangu kule Kemange, Gamasara, Kilibo na hata Uchuna pasipo na umeme wa uhakika elimu duni na hata Afya ya jamii ni ndoto tu, namkumbuka mama yangu anayetembea muda mrefu tutweka hayo maji,huku wachache(viongozi) wakikwapua PESA za walipa kodi chozi linanilenga lenga, naukumbuka ule uta wangu na kale kasime kangu, nachelea kusema iko siku tutakwenda sawa.
Iko siku jua litashindwa kuzama........
Haiwezekani kabisa mijitu ineemeke yenyewe!!!!!
Huye mtoto wa masikini ndoto za kusoma chuo kikuu inaanza kuwa hadithi, hebu hiyo asilimia 40% iko wapi? laki nne ziko wapi,hebu mnajua hata njaa imeongezeka kule kijijini?
Watanzania jengeni Uzalendo, maslahi ya Taifa Mbele,acheni kuwasafisha Mafisadi na kuwapaka matope wakombozi wetu.
mwana wa Mwita nimesema.