Ninyi Watanzania Nani Kawaloga? Ni CCM?

IsayaMwita

JF-Expert Member
Mar 9, 2008
1,127
140
Hebu ninyi watanzania nani kawaloga? Mbona mnaturudisha nginingi? nani kawambia kuwa nyekundu ni nyeupe? Mungu tusaidie ili kizazi kijacho kisije kikatuhukumu na kutuona tulikuwa matahira enzi zetu.

Ndugu zangu naomba muamke, msimame, pigeni mbiu, muikimbie aibu hii ijayo, utamuambia nini mjukuu wako wewe mwenye umri wa miaka 35 ziku hizo? Mmeuza kila kitu, wajukuu wako watakulaumu sana na watakwambia kuwa ninyi mlikuwa wavivu wa kufikiri na waoga.

Mtolewa amepatikana,mtetezi wa nginingi lakini bawabu mnamkwamisha,poleni sana,mmemsahau huyu bi kilembwe(ccn?), mnajua hujuma zake kweli? Mmesahau kwa kupitia wabunge wake ndipo serikari ya Giningi imejikosoa? Watanzania wamegundu uozo uliokisiri katika taifa letu? Nani wa kumvunja moyo?
UNA LAKO JAMBO, WEWE UNAYESEMA KUWA MBOWE NI FISADI, HAUNA HOJA, POLE SANA,ULIKUWA WAPI USIWAKILISHE HOJA HII TANGU ENZI HIZO?

Ndugu zangu wanaginingi tumuunge mkona Mbowe, mtu anayetumia hata rasimali zake ili watanzania tujikomboe kidemocrasia,acheni maneno watanzania.Nanyi mnaopokea chochote kitu toka kwa hao MAFISADI ILI MUWASAFISHE, DAMU YA WATOTO WENU IKO JUU YENU, NIMEWALAANI!!!!!

Wanaforum najua ninyi nyote mko mijini, umeme tele,maji tele, mmesahau taabu za ndugu zenu kule kijijini, ndiyo maana mnatoa hisia zenu za kuwatetea MAFISADI POLENI SANA, nawakumbuka ndugu zangu kule Kemange, Gamasara, Kilibo na hata Uchuna pasipo na umeme wa uhakika elimu duni na hata Afya ya jamii ni ndoto tu, namkumbuka mama yangu anayetembea muda mrefu tutweka hayo maji,huku wachache(viongozi) wakikwapua PESA za walipa kodi chozi linanilenga lenga, naukumbuka ule uta wangu na kale kasime kangu, nachelea kusema iko siku tutakwenda sawa.

Iko siku jua litashindwa kuzama........
Haiwezekani kabisa mijitu ineemeke yenyewe!!!!!

Huye mtoto wa masikini ndoto za kusoma chuo kikuu inaanza kuwa hadithi, hebu hiyo asilimia 40% iko wapi? laki nne ziko wapi,hebu mnajua hata njaa imeongezeka kule kijijini?

Watanzania jengeni Uzalendo, maslahi ya Taifa Mbele,acheni kuwasafisha Mafisadi na kuwapaka matope wakombozi wetu.

mwana wa Mwita nimesema.
 
Hebu ninyi watanzania nani kawaloga? Mbona mnaturudisha nginingi? nani kawambia kuwa nyekundu ni nyeupe? Mungu tusaidie ili kizazi kijacho kisije kikatuhukumu na kutuona tulikuwa matahira enzi zetu.

Ndugu zangu naomba muamke, msimame, pigeni mbiu, muikimbie aibu hii ijayo, utamuambia nini mjukuu wako wewe mwenye umri wa miaka 35 ziku hizo? Mmeuza kila kitu, wajukuu wako watakulaumu sana na watakwambia kuwa ninyi mlikuwa wavivu wa kufikiri na waoga.

Mtolewa amepatikana,mtetezi wa nginingi lakini bawabu mnamkwamisha,poleni sana,mmemsahau huyu bi kilembwe(ccn?), mnajua hujuma zake kweli? Mmesahau kwa kupitia wabunge wake ndipo serikari ya Giningi imejikosoa? Watanzania wamegundu uozo uliokisiri katika taifa letu? Nani wa kumvunja moyo?
UNA LAKO JAMBO, WEWE UNAYESEMA KUWA MBOWE NI FISADI, HAUNA HOJA, POLE SANA,ULIKUWA WAPI USIWAKILISHE HOJA HII TANGU ENZI HIZO?

Ndugu zangu wanaginingi tumuunge mkona Mbowe, mtu anayetumia hata rasimali zake ili watanzania tujikomboe kidemocrasia,acheni maneno watanzania.Nanyi mnaopokea chochote kitu toka kwa hao MAFISADI ILI MUWASAFISHE, DAMU YA WATOTO WENU IKO JUU YENU, NIMEWALAANI!!!!!

Wanaforum najua ninyi nyote mko mijini, umeme tele,maji tele, mmesahau taabu za ndugu zenu kule kijijini, ndiyo maana mnatoa hisia zenu za kuwatetea MAFISADI POLENI SANA, nawakumbuka ndugu zangu kule Kemange, Gamasara, Kilibo na hata Uchuna pasipo na umeme wa uhakika elimu duni na hata Afya ya jamii ni ndoto tu, namkumbuka mama yangu anayetembea muda mrefu tutweka hayo maji,huku wachache(viongozi) wakikwapua PESA za walipa kodi chozi linanilenga lenga, naukumbuka ule uta wangu na kale kasime kangu, nachelea kusema iko siku tutakwenda sawa.

Iko siku jua litashindwa kuzama........
Haiwezekani kabisa mijitu ineemeke yenyewe!!!!!

Huye mtoto wa masikini ndoto za kusoma chuo kikuu inaanza kuwa hadithi, hebu hiyo asilimia 40% iko wapi? laki nne ziko wapi,hebu mnajua hata njaa imeongezeka kule kijijini?

Watanzania jengeni Uzalendo, maslahi ya Taifa Mbele,acheni kuwasafisha Mafisadi na kuwapaka matope wakombozi wetu.

mwana wa Mwita nimesema.
 
Hebu ninyi watanzania nani kawaloga? Mbona mnaturudisha nginingi? nani kawambia kuwa nyekundu ni nyeupe? Mungu tusaidie ili kizazi kijacho kisije kikatuhukumu na kutuona tulikuwa matahira enzi zetu.

Ndugu zangu naomba muamke, msimame, pigeni mbiu, muikimbie aibu hii ijayo, utamuambia nini mjukuu wako wewe mwenye umri wa miaka 35 ziku hizo? Mmeuza kila kitu, wajukuu wako watakulaumu sana na watakwambia kuwa ninyi mlikuwa wavivu wa kufikiri na waoga.

Mtolewa amepatikana,mtetezi wa nginingi lakini bawabu mnamkwamisha,poleni sana,mmemsahau huyu bi kilembwe(ccn?), mnajua hujuma zake kweli? Mmesahau kwa kupitia wabunge wake ndipo serikari ya Giningi imejikosoa? Watanzania wamegundu uozo uliokisiri katika taifa letu? Nani wa kumvunja moyo?
UNA LAKO JAMBO, WEWE UNAYESEMA KUWA MBOWE NI FISADI, HAUNA HOJA, POLE SANA,ULIKUWA WAPI USIWAKILISHE HOJA HII TANGU ENZI HIZO?

Ndugu zangu wanaginingi tumuunge mkona Mbowe, mtu anayetumia hata rasimali zake ili watanzania tujikomboe kidemocrasia,acheni maneno watanzania.Nanyi mnaopokea chochote kitu toka kwa hao MAFISADI ILI MUWASAFISHE, DAMU YA WATOTO WENU IKO JUU YENU, NIMEWALAANI!!!!!

Wanaforum najua ninyi nyote mko mijini, umeme tele,maji tele, mmesahau taabu za ndugu zenu kule kijijini, ndiyo maana mnatoa hisia zenu za kuwatetea MAFISADI POLENI SANA, nawakumbuka ndugu zangu kule Kemange, Gamasara, Kilibo na hata Uchuna pasipo na umeme wa uhakika elimu duni na hata Afya ya jamii ni ndoto tu, namkumbuka mama yangu anayetembea muda mrefu tutweka hayo maji,huku wachache(viongozi) wakikwapua PESA za walipa kodi chozi linanilenga lenga, naukumbuka ule uta wangu na kale kasime kangu, nachelea kusema iko siku tutakwenda sawa.

Iko siku jua litashindwa kuzama........
Haiwezekani kabisa mijitu ineemeke yenyewe!!!!!

Huye mtoto wa masikini ndoto za kusoma chuo kikuu inaanza kuwa hadithi, hebu hiyo asilimia 40% iko wapi? laki nne ziko wapi,hebu mnajua hata njaa imeongezeka kule kijijini?

Watanzania jengeni Uzalendo, maslahi ya Taifa Mbele,acheni kuwasafisha Mafisadi na kuwapaka matope wakombozi wetu.

mwana wa Mwita nimesema.


huenda ikawa ni ccn na si ccm
 
Hebu ninyi watanzania nani kawaloga? Mbona mnaturudisha nginingi? nani kawambia kuwa nyekundu ni nyeupe? Mungu tusaidie ili kizazi kijacho kisije kikatuhukumu na kutuona tulikuwa matahira enzi zetu.

Ndugu zangu naomba muamke, msimame, pigeni mbiu, muikimbie aibu hii ijayo, utamuambia nini mjukuu wako wewe mwenye umri wa miaka 35 ziku hizo? Mmeuza kila kitu, wajukuu wako watakulaumu sana na watakwambia kuwa ninyi mlikuwa wavivu wa kufikiri na waoga.

Mtolewa amepatikana,mtetezi wa nginingi lakini bawabu mnamkwamisha,poleni sana,mmemsahau huyu bi kilembwe(ccn?), mnajua hujuma zake kweli? Mmesahau kwa kupitia wabunge wake ndipo serikari ya Giningi imejikosoa? Watanzania wamegundu uozo uliokisiri katika taifa letu? Nani wa kumvunja moyo?
UNA LAKO JAMBO, WEWE UNAYESEMA KUWA MBOWE NI FISADI, HAUNA HOJA, POLE SANA,ULIKUWA WAPI USIWAKILISHE HOJA HII TANGU ENZI HIZO?

Ndugu zangu wanaginingi tumuunge mkona Mbowe, mtu anayetumia hata rasimali zake ili watanzania tujikomboe kidemocrasia,acheni maneno watanzania.Nanyi mnaopokea chochote kitu toka kwa hao MAFISADI ILI MUWASAFISHE, DAMU YA WATOTO WENU IKO JUU YENU, NIMEWALAANI!!!!!

Wanaforum najua ninyi nyote mko mijini, umeme tele,maji tele, mmesahau taabu za ndugu zenu kule kijijini, ndiyo maana mnatoa hisia zenu za kuwatetea MAFISADI POLENI SANA, nawakumbuka ndugu zangu kule Kemange, Gamasara, Kilibo na hata Uchuna pasipo na umeme wa uhakika elimu duni na hata Afya ya jamii ni ndoto tu, namkumbuka mama yangu anayetembea muda mrefu tutweka hayo maji,huku wachache(viongozi) wakikwapua PESA za walipa kodi chozi linanilenga lenga, naukumbuka ule uta wangu na kale kasime kangu, nachelea kusema iko siku tutakwenda sawa.

Iko siku jua litashindwa kuzama........
Haiwezekani kabisa mijitu ineemeke yenyewe!!!!!

Huye mtoto wa masikini ndoto za kusoma chuo kikuu inaanza kuwa hadithi, hebu hiyo asilimia 40% iko wapi? laki nne ziko wapi,hebu mnajua hata njaa imeongezeka kule kijijini?

Watanzania jengeni Uzalendo, maslahi ya Taifa Mbele,acheni kuwasafisha Mafisadi na kuwapaka matope wakombozi wetu.

mwana wa Mwita nimesema.


Oghambire bhuya mwana wa Mwita!
 
Kuna sehemu ambazo CCM HAIJAWAHI KUFIKA TOKA NCHI HII IANZE KUITWA TANZANIA SEHEMU HIZO HATUWEZI KUILAUMU CCM KAMA CHAMA NI KUWALAUMU WATU WA HUKO KWA KUTOKUWA WAZALENDO KWA KUTOKUWA MAKINI KUPIGANIA MAENDELEO YAO BINAFSI
 
Kuna sehemu ambazo CCM HAIJAWAHI KUFIKA TOKA NCHI HII IANZE KUITWA TANZANIA SEHEMU HIZO HATUWEZI KUILAUMU CCM KAMA CHAMA NI KUWALAUMU WATU WA HUKO KWA KUTOKUWA WAZALENDO KWA KUTOKUWA MAKINI KUPIGANIA MAENDELEO YAO BINAFSI

shy fafanua mkuu ni wapi huko ambako CCM haijawahi kufika?
 
Na Kuna Sehemu Wamefika Sema Tu Kuna Watu Sio Wazalendo Na Hawaitakii Mema Ccm Na Wananchi Kwa Ujumla

Kama Kigoma Nakumbuka Enzi Hizo Ilikuwa Balaa Kwa Maendeleo , Mtwara Mikindani Pale Ile Bandari Ilikuwa Powa Sana Wenyewe Wameiharibu Na Sehemu Zingine Nyingi

Hapa Hatuilaumu Ccm Tutawalaumu Watu Wa Huko Kwa Kutokufanya Jitihada Za Dhati Na Za Kweli Za Kujikakamua Na Kupigania Maendeleo Yao
 
Na Kuna Sehemu Wamefika Sema Tu Kuna Watu Sio Wazalendo Na Hawaitakii Mema Ccm Na Wananchi Kwa Ujumla

Kama Kigoma Nakumbuka Enzi Hizo Ilikuwa Balaa Kwa Maendeleo , Mtwara Mikindani Pale Ile Bandari Ilikuwa Powa Sana Wenyewe Wameiharibu Na Sehemu Zingine Nyingi

Hapa Hatuilaumu Ccm Tutawalaumu Watu Wa Huko Kwa Kutokufanya Jitihada Za Dhati Na Za Kweli Za Kujikakamua Na Kupigania Maendeleo Yao

shy nimekuelewa tena ni sehemu nyingi kama vile Kilosa, Kilombero (nakumbuka vijiji vya kilombero vilikuwa vinaongoza mashindano ya kijiji bora enzi za Mwl Nyerere. nimeshangazwa na habari za hivi karibuni, kwamba moja wapo ya maeneo yenye njaa ni Mbeya, wakati ndiyo iliyokuwa inaongoza ktk big four.

Mawazo mazuri shy, wananchi wanatakiwa kuwa wazalendo (wenye uchu + uchungu wa maendeleo, hivyo wawe wanawakoromea vilivyo viongozi MAFISADI, WAZEMBE, WASIONA MBALI nk. Ikiwa ni pamoja na kuwanyima kura.

WAKUU MMEIPATA HIYO? KWAMBA TATIZO NI WANANCHI KUKOSA UZALENDO NA KUENDEKEZA ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA CHAMA HUKU NCHI IKILIWA NA KUBAKI TUKIILAUMU CCM. tujilaumu wenyewe kwa kukumbatia viongozi wabovu.
 
Ningemuunga mkono Mbowe na wenzie, kama kungekuwa na true opposition hapa Tanzania. Wakitaka tuwaunge mkono waunde coalition... what's stopping them?

./MwanaHaki
 
kwenye ballots pia wengi huona CCM ! Nafikiri this explains why is the political juggernault ndani ya bongo !
 
Ningemuunga mkono Mbowe na wenzie, kama kungekuwa na true opposition hapa Tanzania. Wakitaka tuwaunge mkono waunde coalition... what's stopping them?

./MwanaHaki

Kweli sioni upinzani hapa Bongo, unataka waungane Tatizo nadhani si kuungana ni ubinafsi walio nao, unadhani wakiamua kuunda colition nani ataklubali kuwa chini ya mwenzake....? waangalie Mbowe, Lipumba au Mrena
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom