kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nimewasikiliza asubuhi muda wote mpo kwenye habari za Magufuli,na ule wimbo maarufu wa maombolezo wa kinigeria.Kwani hamjui siku za maombolezo zilikuwa siku 21 na zimeisha jana?
Badilikeni bhana msidhani hizo habari hazichoshi.Acheni watu wapumue wawaze mambo mengine.
Kazi inaendelea
Badilikeni bhana msidhani hizo habari hazichoshi.Acheni watu wapumue wawaze mambo mengine.
Kazi inaendelea