bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Baada ya kilimanjaro stars kuvurunda sana Michuano ya Cecafa wakubwa kocha wa timu Hiyo Ninje akipenda kutumia neno Untill next time ameibuka na kusema watanzania wampe nafasi kwani amekuja na mfumo mpya wa Soka ukiitwa Diamond formation na anataka kuutambulisha Tanzania,kocha huyu tukiiambiwa kafundisha soka Uingereza ila sijui ni timu zipi vile.
Maoni Yangu kwa kocha Ninje na Tff.
Huwezi kutambulisha mfumo mpya kwa wachezaji ambao karibia wanafikia peak/treshold volume ya kucheza mpira ni ngumu kama wanataka kuimplement huo mfumo ni bora kocha Ninje akapewa timu za watoto under 7 hawa ndo wepesi wa kushika vitu ila kwa hawa wakubwa baba utachemka.
Pili elewene Soka linabadilika kila siku,kila siku inakuja mifumo mpya Wabrazil walitambulika kwa kucheza Soka matata aina ya Samba wakipiga pasi nyingi ila siku hizi nao wamebadilika wakicheza mifumo tofauti tofauti kutokana na aina ya matokeo wanayoyataka na aina ya timu wanazokutana nao leo sio ajabu ukiona viungo wa Kibrazil wakipewa Red Card kutokana na Mpira wa Nguvu wanaocheza,tulizoea Wajerumani na mpira wao wa nguvu nyingi enzi za kina Ballack ila siku hizi nao wanacheza soft game kulingana na aina ya wachezaji wao,Gotze,Kroos.nk
Tatu huu mfumo wa Diamond formation ulikua ukitumiwa sana na makocha waliopita pale man utd,Sir Fergie na Moyes kidogo ila baadaye wapinzani waliugundua na kujua njia za kupambana nao ref Man utd vs Ac Milan chini ya mtu katili wa mpira Gennaro Gatuso man utd kidogo wakimbie uwanja siku ile,huu mfumo lazima uwe na winga wenye Spidi kama Bolt mfano Man utd walikuwepo C.Ronaldo,Nani,Valencia,Young..nk enzi za Sir Fergie atleast ulifanya kazi ila kwa Moyes ulifeli Kabisa.
Tff Kama Ninje kaja na mfumo wake tunaomba apewe timu za watoto kwanza huko atengeneze Mawinga wake kwanza,Viungo wenye kupiga pasi ndefu,na beki jamii ya kina Vidic kwanza ndo aje apewe timu za wakubwa.
[HASHTAG]#MpendasokaTz[/HASHTAG].
Maoni Yangu kwa kocha Ninje na Tff.
Huwezi kutambulisha mfumo mpya kwa wachezaji ambao karibia wanafikia peak/treshold volume ya kucheza mpira ni ngumu kama wanataka kuimplement huo mfumo ni bora kocha Ninje akapewa timu za watoto under 7 hawa ndo wepesi wa kushika vitu ila kwa hawa wakubwa baba utachemka.
Pili elewene Soka linabadilika kila siku,kila siku inakuja mifumo mpya Wabrazil walitambulika kwa kucheza Soka matata aina ya Samba wakipiga pasi nyingi ila siku hizi nao wamebadilika wakicheza mifumo tofauti tofauti kutokana na aina ya matokeo wanayoyataka na aina ya timu wanazokutana nao leo sio ajabu ukiona viungo wa Kibrazil wakipewa Red Card kutokana na Mpira wa Nguvu wanaocheza,tulizoea Wajerumani na mpira wao wa nguvu nyingi enzi za kina Ballack ila siku hizi nao wanacheza soft game kulingana na aina ya wachezaji wao,Gotze,Kroos.nk
Tatu huu mfumo wa Diamond formation ulikua ukitumiwa sana na makocha waliopita pale man utd,Sir Fergie na Moyes kidogo ila baadaye wapinzani waliugundua na kujua njia za kupambana nao ref Man utd vs Ac Milan chini ya mtu katili wa mpira Gennaro Gatuso man utd kidogo wakimbie uwanja siku ile,huu mfumo lazima uwe na winga wenye Spidi kama Bolt mfano Man utd walikuwepo C.Ronaldo,Nani,Valencia,Young..nk enzi za Sir Fergie atleast ulifanya kazi ila kwa Moyes ulifeli Kabisa.
Tff Kama Ninje kaja na mfumo wake tunaomba apewe timu za watoto kwanza huko atengeneze Mawinga wake kwanza,Viungo wenye kupiga pasi ndefu,na beki jamii ya kina Vidic kwanza ndo aje apewe timu za wakubwa.
[HASHTAG]#MpendasokaTz[/HASHTAG].