adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,035
- 15,538
Si automatic hahahaLazima lizime tu utaondokaje na gear namba 5
Si automatic hahahaLazima lizime tu utaondokaje na gear namba 5
Automatic huwa halishituliwi mkuu likigoma ni kuweka neutral ndiyo lisukumweSi automatic hahaha
Ahahaha ila ajihadhari mana wanaweza wakamtegene movie akashindwa kuchomoka.Tena huwezi amini huyu ndio anaweza kuwa waziri atakaye kaa kwenye wizara hii kuliko wengine tangu uhuru!!kwani usanii wake na matamko yake ndiyo yanapendwa sana na jiwe!!na yeye ameshajua nini jiwe linataka
Ushawahi kuendesha auto mkweche?Automatic huwa halishituliwi mkuu likigoma ni kuweka neutral ndiyo lisukumwe
Kwa nini wateule wa awamu hii wanapenda sana Drama
Hahahahaha mkuu auto nimeanza kuendesha hivi karibuni enzi zetu ilikuwa ni Fiat aka mbaula roho ya paka Leyland sterling jiwe hapo ni route ya mwanza kusomba pamba vijijini huko barabara mbovu balaa ambazo ingekuwa leo hii hao kina Noah Lexus zingeweza hata kidogo kusurviveUshawahi kuendesha auto mkweche?
Ukiweza rivas inaenda mbele?
Afu haibadili gia ni moja na 2 tu
nilimuona juzi bungeni yupo seat za mwisho kabisa anachezea ki tabletWeka neno kwakeView attachment 811677
😂😂😂😂Akitoboa hiyo wizara mpaka 2020 akatambike fupa lazima limshinde tu
👊Akitoboa hiyo wizara mpaka 2020 akatambike fupa lazima limshinde tu