Nini yatakuwa madhara ya kuruhusu Ethiopia kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)?

Kiruuuuu! We utakuwa umezaliwa na unaishi sehemu zenye wanawake wabaya kwa kuzaliwa!

Yani wanarithi ubaya from their mom ahahaha!
Ungekuwa umezaliwa Singida, Manyara, Lindi, au Kondoa au pengine kuwa na vinasaba na hayo maeneo wala usingezungumzia habari ya madem wakali cause wewe tu in nature utakuwa kama wao hata kwa mbaaali.
Kuna mikoa miwili hapo ina DNA xa ETHIOPIA kama siijakosea....
Manyara na Singida
 
Kuna mikoa miwili hapo ina DNA xa ETHIOPIA kama siijakosea....
Manyara na Singida
Sijawahi kujua.
Lakini wa-iraq wengi wako kama wasomali au unaweza kusema huko Ethiopia.

Watu wasingida japo siku hizi wamechanganya sana na mbegu zingine wanatoa vitu mixer (mfano wake ni mimi) wana asili ya uarabu hata kama atakuwa mweusi basi angalau nywele zake zitakuwa zakiarabu.
 
Kwaiyo mkuu watu watakula technology?
Hawali technology ila inarahisisha ulaji wao, ndiyo maana sisi na ardhi zetu kubwa mvua isiponyesha mwaka tu tunaanza kulia njaa na kuwaomba misaada, wakati wewe unatumia jembe la mkono na kutegemea mvua.., mwanzako anatumia mashine kuandaa shamba, kupanda, kupalia, kumwagilia na kuvuna, na kuhifadhi.. nguvu kidogo mavuno kibao.. muache uoga na uvivu wa kufikiria
 
Hawali technology ila inarahisisha ulaji wao, ndiyo maana sisi na ardhi zetu kubwa mvua isiponyesha mwaka tu tunaanza kulia njaa na kuwaomba misaada, wakati wewe unatumia jembe la mkono na kutegemea mvua.., mwanzako anatumia mashine kuandaa shamba, kupanda, kupalia, kumwagilia na kuvuna, na kuhifadhi.. nguvu kidogo mavuno kibao.. muache uoga na uvivu wa kufikiria
Uko sahihi, lakini katika kufikiri kwetu tusiidharau ardhi, maana ardhi ndio mama wa uchumi. Kuna wajibu wa kuilinda wakati tukijifunza technology na sio kuidharau ardhi kwa sababu ya technology.
 
Mkuu binafsi siungi mkono hoja yako haina mashiko , jiulize Tz ni mamber wa SADEC , kuna li nchi kama SA mbali ya kuwa SA inauchumi mkubwa kuliko nchi zote za SADEC lkn bado kuna fursa ambazo Tz inanufaika nazo. Ss nikija kwa hili la ETH, Tz itanufaika kufanya biashara na ETH kwa njia yeyote ile bila kujali iyo sababu ya umbali wa kijeografia tuna amini kutapatikana fursa ya kupeleka nafaka kule pamoja na maitaji mengine. Shida ya EAC ni jumuiya yenyewe. Ni kama haieleweki iv nchi zingine zinakubaliana hiv zingine zinawekeana vigingi.
 
Mkuu population ya Ethiopia ni mIlioni 120 kwasasa.

Wanatatizo kubwa sana la ajira, kama wataingia EAC tutegemee influx ya wahabeshi kubwa sana kwenye nchi zetu. Mbaya zaidi hawa jamaa wamesoma sana na wengi hawana kazi rasmi, hivyo competetion ya ajira itakuwa kubwa kupita kiasi. Pia kufanyabiashara na nchi yenye closed economy ni ngumu sana, Ethiopia mashirika ya serikali ndiyo yanatoa huduma karibia zote, private sector inapumulia mashine hivyo tusitegemee kupata fursa za kibiashara kwenye nchi hii.

Kuhusu ubaguzi na kujiona wao sio waafrika hilo lipo ingawa sio kwa kiasi kikubwa, nimewahi kuishi na wahabeshi nje ya nchi kwakweli jamaa ni wapole sana na wanapenda sana urafiki na yeyote. Hadi dada zao kibao tu wameolewa na wabantu.

Umeongea ukweli, kuna nchi nilikaa ulaya enzi hizo kijana wa kizungu alinitukana wewe kaka wa kihabeshi hata simjui alishuka kwenye baiskeli yake alikuja akamtukana kisawa sawa yule mzungu yaani kwa mara ya kwanza niliona Ethiopians ni ndugu zangu maana aliniita my sister sitakaa ninyamaze nione mwafrika yoyote ananyanyasika na hawa nguruwe.
Afrika tuko na Safari ndefu sana maana sisi si wamoja, wengine hatujiamini, tunawaza backward wakati dunia inakimbia.
 
Umeongea ukweli, kuna nchi nilikaa ulaya enzi hizo kijana wa kizungu alinitukana wewe kaka wa kihabeshi hata simjui alishuka kwenye baiskeli yake alikuja akamtukana kisawa sawa yule mzungu yaani kwa mara ya kwanza niliona Ethiopians ni ndugu zangu maana aliniita my sister sitakaa ninyamaze nione mwafrika yoyote ananyanyasika na hawa nguruwe.
Afrika tuko na Safari ndefu sana maana sisi si wamoja, wengine hatujiamini, tunawaza backward wakati dunia inakimbia.
Mkuu uliitwa my sister...so ww n mwanamke
 
Sijawahi kujua.
Lakini wa-iraq wengi wako kama wasomali au unaweza kusema huko Ethiopia.

Watu wasingida japo siku hizi wamechanganya sana na mbegu zingine wanatoa vitu mixer (mfano wake ni mimi) wana asili ya uarabu hata kama atakuwa mweusi basi angalau nywele zake zitakuwa zakiarabu.
Na ww ndo huyo kwene profile
 
Kwaiyo mkuu watu watakula technology?
Technology ndio chakula.Ukiwa na trekta la maana moja huwezi waza njaa.We we unafikiri kuwa teknolojia ni simu tu.Teknolojia ni kila kitu mbegu bora,mbolea,mitambo vyote kwa pamoja vinamletea binadamu chakula.Muafrika anamiliki heka 100 analima 5, halafu unawaza maendeleo.Japan hawana ardhi Kama ya Tz lakini ni nchi tajiri top 10.
 
Wala usiwe na wasiwasi na Ethiopia kujiunga EAC. Kwa historia yao huwa kwanza hawajihesabu kama ni Waafrika bali wanajiina ni race tofauti.

Kwa hiyo social status waliyojiwekea kujifanya kuwa siyo Waafrika wala usiwategemee wajiunge na EAC
Wayahudi
 
Totoz za kimbulu, iraqw zinatokana na migrations za nilotic na hamitic na cushitic ni sawa na hao Ethiopians mnaowaona wakali. Nenda Bahati, Singida, Hanang utawakuta
Siyo big deal hata kwa mafungu wanakubali
Sasa ao c wako singida mkuu
 
Hakuna faida hata chembe Tanzania itayopata.
Ni mzigo tutailetea Tanzania kupitia Jumuiya ya EAC.
Ethiopia itakuwa mzigo mwingine kwa EAC hasa Tanzania kama Kenya ilivyo zigo sasa hivi.
 
Natamani Afrika nzima iwe kitu kimoja, wachilia mbali Ethiopia kuwa katika jumuiya ya nchi za Afrika ya Mashariki. Nchi iwe na nguvu au la, zikiwa pamoja zitajipanga tu, na huyo anayedhaniwa ni dhaifu atajiinua, na kwa kuwa ni wamoja, hata mwenye nguvu atatoa nafasi ya dhaifu ainuke, hskuna uhasama au uadui.
Hivyo wote tutaishia kuwa imara, na wamoja zaidi.
 
Natamani Afrika nzima iwe kitu kimoja, wachilia mbali Ethiopia kuwa katika jumuiya ya nchi za Afrika ya Mashariki. Nchi iwe na nguvu au la, zikiwa pamoja zitajipanga tu, na huyo anayedhaniwa ni dhaifu atajiinua, na kwa kuwa ni wamoja, hata mwenye nguvu atatoa nafasi ya dhaifu ainuke, hskuna uhasama au uadui.
Hivyo wote tutaishia kuwa imara, na wamoja zaidi.
Uwe nchi moja na waarabu wa Egypt,Libya Algeria ...hapana kwa kweli...utumwa utaanza upya
 
Back
Top Bottom