Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 339
- 457
Nimekuwa nikivutiwa kusoma yaani kujiendeleza kimasomo ila kuna minong'ono kuwa digrii zinaweza tofautina ubora kutokana na chuo ulichosomea. Sasa je, nini tofauti ya degree ya chuo kikuu huria na vyuo vingine?
My interest ni kusoma OUT yaani chuo kikuu huria, naomba kujua ili aidha niende OPEN au vyuo vingine.
Naomba kuwasilisha
My interest ni kusoma OUT yaani chuo kikuu huria, naomba kujua ili aidha niende OPEN au vyuo vingine.
Naomba kuwasilisha