Mbona ndo yuko na hiyo siku zoteLC 300 Tetesi inaweza ingia sokoni 2020 mwishoni au 2021mwanzoni . Mzigo ukitoka tutaanza kuuona kwenye convoy za JPM
View attachment 1631645
Mbona ndo yuko na hiyo siku zoteLC 300 Tetesi inaweza ingia sokoni 2020 mwishoni au 2021mwanzoni . Mzigo ukitoka tutaanza kuuona kwenye convoy za JPM
View attachment 1631645
Bavarian Motor WorksAmenikumbusha eti kirefu cha BMW huku uswazi tunasema Baba, Mama, Watoto
Hiyo ndio anayotumia namba 1. Ila LC 300 inamuonekano huuMbona ndo yuko na hiyo siku zote
Hiyo ndio anayotumia namba 1. Ila LC 300 inamuonekano huu View attachment 1632502
View attachment 1632503View attachment 1632504
Ndio matoelo ya LC300, Mkuu bado yupo kwenye LC200Hizo zote mbele ziko tofauti hizo ndo zipi na muheshimiwa anatumia ipi kati ya ulizotuma
Ndo hiyo inakuja na V6?Hiyo ndio anayotumia namba 1. Ila LC 300 inamuonekano huu View attachment 1632502
View attachment 1632503View attachment 1632504
Ndio MkuuNdo hiyo inakuja na V6?
LC 300 concept car View attachment 1630107
Hizi si ndio anazotembeleaga magi siku zote zenye kidirisha kati ya mlango wa mbele na wa nyumbaLC 300 Tetesi inaweza ingia sokoni 2020 mwishoni au 2021mwanzoni . Mzigo ukitoka tutaanza kuuona kwenye convoy za JPM
View attachment 1631645
F70 ni ipi mkuu kapicha basiKuna series nyingi za Toyota land cruiser kuanzia f20, f30, f60, f70, f80, f90, f100 na F200. Katika matoleo yote f70 ndio toleo la Land cruiser limedumu kwenye uzalishaji mpaka leo na lina maisha bado. Kikubwa pamoja na kubadilika kwa technology ya transmission wao huwa hawana Automatic ni manual transmission tu.
Kwanini mkuufinal product haiwez kuwa hivi
Hio ni prototype tu. Inaakisi mawazo ya designers lakini inaweza kuja tofauti kidogo na hapoKwanini mkuu
to indicate Very Luxury
Vx to indicate Very Luxury and Sx to indicate Super Luxury!!! and that convention is just followed.Oct 15, 2009
JAMAA YUPO SAHIHI...
http://www.theautomotiveindia.com/forums/threads/whats-the-meaning-of-variant-names-lx-vx-etc.427/#:~:text=Vx to indicate Very Luxury,that convention is just followed.
Mkuu umeanza uongo mbona hiyo ya kwanza haifanani kabisa na cruiser za jiwe ila hii hapa chini ndio inafanana nazo.Ukibisha nitamuita jiwe mwenyewe atusaidie ni aina ipi anatembeleagaHiyo ndio anayotumia namba 1. Ila LC 300 inamuonekano huu View attachment 1632502
View attachment 1632503View attachment 1632504
Hujaelewa nini hapob😊Lugha?. Very Luxurious na Super Luxurious?
Hiyo ya kwanza ni toleo jipya LC300 haijawa modified kama ya Jiwe, kuingia sokoni ni 2021/ 2022. Hiyo ya jiwe ni LC200 ipo modified kwa 50 cm na mafundi ni hawa https://caratduchatelet.com/en/port...er-200-vx-extended-by-50-cm-with-parade-roof/ huo ndio utofauti boss.Mkuu umeanza uongo mbona hiyo ya kwanza haifanani kabisa na cruiser za jiwe ila hii hapa chini ndio inafanana nazo.Ukibisha nitamuita jiwe mwenyewe atusaidie ni aina ipi anatembeleaga
View attachment 1643960
F70 ni ipi mkuu kapicha basi