Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,705
- 4,739
Wana JF, leo ni kumbukumbu ya kifo cha MUASISI wa Taifa la Tanzania na waziri mkuu wa kwanza wa tanganyika hatimae rais wa kwanza wa Tanzania huru.
Si vibaya kuchangia chochote au kwa lolote unalolikumbuka au ambalo linakugusa wakati wa uhai wake au alipofikwa na mauti.
Kwa uchache sana binafsi nakumbuka yafuatayo:
*Ilikua zamani nakumbuka mwl akiwa ameshastaafu urais alitembelea kijijini kwetu, shughuli zote zilisimama kwa wiki kadhaa kikijiandaa kumpokea.ndege na wanyama walimwaga damu za kutosha.
*Baba yangu mdogo wakati anasoma shule alikuwa Kaka Mkuu, MWL.JK aliwahi kutembelea shule ni kwao na akashikana nae mkono (shake hands) aliogopewa na kuheshimiwa na kijiji kizima. hadi mikutano ya ndani ya kijiji alihudhuria kwa heshima.
*Nikiwa shule ya msingi (nakumbuka ndio mara yangu ya mwisho kumwona mwl.akiwa hai) alikuja mkoa niliokuwa nasoma, akiambatana na BW Mkapa akiwa raisi, wanafunzi wote Ana walimu tulifunga shule kuelekea eneo la tukio. watu walijipanga barabarani kumlaki, Mkapa aliongea Wageningen wote waliongea ila kila mtu alikuwa anamsubiri MWL.JK a ongee, cha kushangaza ilipofika zamu yake alisimama akaongea maneno machache sana, chini ya dk kama 4 hivi. watu wakapiga na kusambaa.
*La mwisho kabisa kifo cha mwl kilisimamisha mahafali yangu (LY) baada ya kutangazwa tu michango na maandalizi yote vikasitishwa.
Bandika hapa unachokumbuka......
Si vibaya kuchangia chochote au kwa lolote unalolikumbuka au ambalo linakugusa wakati wa uhai wake au alipofikwa na mauti.
Kwa uchache sana binafsi nakumbuka yafuatayo:
*Ilikua zamani nakumbuka mwl akiwa ameshastaafu urais alitembelea kijijini kwetu, shughuli zote zilisimama kwa wiki kadhaa kikijiandaa kumpokea.ndege na wanyama walimwaga damu za kutosha.
*Baba yangu mdogo wakati anasoma shule alikuwa Kaka Mkuu, MWL.JK aliwahi kutembelea shule ni kwao na akashikana nae mkono (shake hands) aliogopewa na kuheshimiwa na kijiji kizima. hadi mikutano ya ndani ya kijiji alihudhuria kwa heshima.
*Nikiwa shule ya msingi (nakumbuka ndio mara yangu ya mwisho kumwona mwl.akiwa hai) alikuja mkoa niliokuwa nasoma, akiambatana na BW Mkapa akiwa raisi, wanafunzi wote Ana walimu tulifunga shule kuelekea eneo la tukio. watu walijipanga barabarani kumlaki, Mkapa aliongea Wageningen wote waliongea ila kila mtu alikuwa anamsubiri MWL.JK a ongee, cha kushangaza ilipofika zamu yake alisimama akaongea maneno machache sana, chini ya dk kama 4 hivi. watu wakapiga na kusambaa.
*La mwisho kabisa kifo cha mwl kilisimamisha mahafali yangu (LY) baada ya kutangazwa tu michango na maandalizi yote vikasitishwa.
Bandika hapa unachokumbuka......