Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,073
- 6,251
Tulio wai kupoteza watu waliochangia leo kuwa kama tulivyo.
Wana Jf.
Katika kuishi tunakutana na watu wengi sana lakini wapo watu ambao kamwe hatuwezi kuwasahau pindi wanapo tangulia mbele ya haki (kifo).
Hii ni kutokana na sababu nyingi zikiwemo ukaribu, urafiki, undugu pengine Mahusiano yetu na matendo yao.
Nakumbuka Anko alifariki wiki 1 tu baada ya kuanza matibabu ya mkono wangu uliokuwa umevujika! Aliniacha bado sijapona ukweli niliumia na kulia sana japo haikubadili uhalisia.
nakukumbuka Anko X!
Japo nilipona badae ashukuliwe Mungu!
Karibuni wanajamvi kwa kile ulichowai kutendewa au kutenda kwa mtu ambaye hayupo duniani! Kupitia hilo ndio linakufanya umukumbuke!
Wana Jf.
Katika kuishi tunakutana na watu wengi sana lakini wapo watu ambao kamwe hatuwezi kuwasahau pindi wanapo tangulia mbele ya haki (kifo).
Hii ni kutokana na sababu nyingi zikiwemo ukaribu, urafiki, undugu pengine Mahusiano yetu na matendo yao.
Nakumbuka Anko alifariki wiki 1 tu baada ya kuanza matibabu ya mkono wangu uliokuwa umevujika! Aliniacha bado sijapona ukweli niliumia na kulia sana japo haikubadili uhalisia.
nakukumbuka Anko X!
Japo nilipona badae ashukuliwe Mungu!
Karibuni wanajamvi kwa kile ulichowai kutendewa au kutenda kwa mtu ambaye hayupo duniani! Kupitia hilo ndio linakufanya umukumbuke!