Nini umuhimu wa EAC anthem.

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,038
2,199
Baada ya kupingwa mara kadhaa,hivi karibuni wakuu wa nchi EAC waliidhinisha wimbo wa jumuiya hii.
Yafuatayo ndio maneno yaliomo:

Ee mungu twaomba uilinde,
jumuiya Africa mashariki,
Tuwezeshe kuishi kwa amani,
Tutimize na malengo yetu.

Jumuiya yetu sote tuilinde,
Tuwajibike tuimarike,
Umoja wetu ni nguzo yetu,
Idumu jumuiya yetu.

Uzalendo pia mshikamano,
viwe msingi wa umoja wetu,
natulinde uhuru na amani,
mila zetu na desturi zetu.

Viwandani na hata mashambani,
tufanye kazi zote kwa makini,
tujitoe kwa hali na mali,
Tuijenge jumuia bora.
 
Back
Top Bottom