Nini uhalali wa Mke wa Rais kutumia mali ya umma katika shughuli binafsi?

Brooklyn

JF-Expert Member
Mar 17, 2009
1,459
284
Hivi wadau mke wa Rais ni kiongozi wa serikali? Nimesoma vizuri katiba yetu ya JMT, hakuna ibara hata moja inayotamka kutambua nafasi ya mke wa Rais wa JMT na naamini hakuna sheria inayompa madaraka ya kusomewa taarifa za maendeleo ya mikoa, potelea mbali misululu ya magari ya serikali anayoambatana nayo pamoja na yale ya viongozi wanaokwenda kumpokea.

Ninastaajabishwa na kuendelea kuchezea hovyo hovyo rasilimali za taifa hili katika mambo yasiyo na tija. Picha hapo chini zinaonyesha viongozi wa mkoa wa Lindi waliokwenda kumpokea mke wa rais. Naamini WAMA ni taasisi ya binafsi ya mke wa rais na maswahiba wake, ingawa anatumia nafasi na ushawishi aliyonayo pale ikulu ku solicit misaada kutoka kwa wafadhili ambayo hatujui nani ananufaka mwisho wa siku. Nasema hivi kwa sababu taasisi ya mke wa Rais mstaafu Benjamin Mkapa, tuliambiwa ni ya kwake binafsi. Kwa hivyo mumewe alipoondoka madarakani, naye akaondoka na taasisi yake.

Wakati wa kampeni za kuwania Urais mwaka jana, Mama Salma alidiriki kutumia ndege za serikali kumkampenia mume wake Mh. Rais Kikwete.

Wana JF mnalionaje hili? Binafsi linanikwaza sana!!



Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo nchini (WAMA) mama Salma Kikwete akipokewa na viongozi mkoa wa Lindi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege mkoani Lindi leo. Mama Salma Kikwete yuko mkoani humo kushiriki na kuhimiza shughuli za maendeleo ya wananchi.(Picha na Aron Msigwa – MAELEZO).




http://mohammeddewji.com/blog/wp-content/uploads/2011/04/Picha-no-14.jpg
 
Jamani nadhani kwa Dar amepunguza kidogo safari zake za kwenda kusuka na kumwangalia
mjukuu wake mikocheni nadhani atakuwa anapita kimya kimya, au msusi anakuja mjengoni
na mjukuu anapelekwa mjengoni,huko kwao maadam bado wako kizani ndiyo anayaendeleza haya
2nayoyaona,na huyu askari anyampigia saluti yawezekana anatafuta fadhila za kupandishwa
ka cheo maana sina uhakika wakati anasomeshwa kozi zake za ukamanda kuna mahali alionyeshwa
nafasi ya mke wa rais na heshima anayotakiwa kupewa, la yawezekana ni askari wa voda fasta
 
mnh si kulikuwa na thread mliyosema haonekani humu????
akionekana kufatilia shughuli za maendeleo shida,akitulia nyumbani kwake bila kuonekana kny media napo shida,mama salma has difficult time haswaaa...:bored::noidea:
 
Jamani nadhani kwa Dar amepunguza kidogo safari zake za kwenda kusuka na kumwangalia
mjukuu wake mikocheni nadhani atakuwa anapita kimya kimya, au msusi anakuja mjengoni
na mjukuu anapelekwa mjengoni,huko kwao maadam bado wako kizani ndiyo anayaendeleza haya
2nayoyaona,na huyu askari anyampigia saluti yawezekana anatafuta fadhila za kupandishwa
ka cheo maana sina uhakika wakati anasomeshwa kozi zake za ukamanda kuna mahali alionyeshwa
nafasi ya mke wa rais na heshima anayotakiwa kupewa, la yawezekana ni askari wa voda fasta

Askari wa KK security nini? Siielewi uniform yake.
 
Wivu wa kike, mnajua muda anaoutumia kulala bila ya mumewe pembeni yake?
 
Ndio maana tunahitaji katiba mpya. Jukumu la first lady lazima lieleweke kama ilivyo katika nchi za wenzetu waliokwishapitia huko. Marekani huwezi kumwona mke wa Obama akipokelewa na wakuu wa jiji la Chicago anapokwenda kutembelea ndugu zake. na Shughuli zake za kiserikali zinaeleweka kabisa.
 
katika hata itifaki huwa anawekwa tu lakini kimsingi hata katiba yao haionyeshi ni wapi na yy anaweza akapewa periority wat i know iz yy anapewa heshima pindi anapokuwa na mheshimiwa basi ss hili la yy kwenda Lindi harafu anapokelewa namna hy duh linaniacha hoi kidogo wadau fafanueni
 
Tafadhali wadau tufafanulieni, mi binafsi naona ni matumizi mabaya ya madaraka pamoja na rasilimali za taifa. Kwa mwendo huu katiba mpya inahitajika haraka; na anastahili kufunguliwa kesi.
 
Kazi yenu nyie humu ni majungu tu,hayatakaa yawasaidie,kama huyu mama anawakera oeni wa kwenu then gombeeni urais then mmweke ndani akisubiria misaada kutoka kwenu.Hivi ni lini waTz mtaendelea,yani unaweza kukuta mtoto wa kiume umekalia majungu tuuu,umbea tuuuuu kama mtoto wa kike unayesubiria kuchumbiwa!!!!!!!!!!!!!Mbona mama Maria Nyerere alikuwa anatumia vyombo vya Serikali,mbona mama Sity mwinyi alitumia,mbona mama Mkapa alitumia tena sana tu,yote hayo hamkuyaona,hebu kueni kiakili,hata mkifanya jungu la namna gani mama wa watu atendelea kulindwa na usalama wa Taifa,atatumia vyombo vya serikali kama kawa tena sana tuuu,kama nyie hamuoni matunda ya kazi zake basi kuna waTz wanaona afterall siyo lazima wote turidhike na kila anachokifanya.
Kama imewauma sana kwa First Lady kutumia na kupokelewa na viongozi wa kitaifa,basi mpigieni kura huyo Slaa wenu mwenye Demu badala ya mke,yeye ndo hataruhusiwa kutumia hata ngao ya Taifa mana ni Demu tu na wala si mke.
KA VIPI PASUKENI,BADALA YA UMBEA TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU,MNAKERA SIKU HIZI,UCHAGUZI UMEKWISHA MMEKOSA VYA MAANA KUONGELEA MMEANZA KUWASAKAMA WENZENU,BADALA YA KUPOST TAKATAKA KAMA HIZO NI BORA MUENDE KJIJINI MKALIME NDUGU ZANGU.gO gO gO gO,Salma Kikwete GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOoo.Never lose focus.
 
Kazi yenu nyie humu ni majungu tu,hayatakaa yawasaidie,kama huyu mama anawakera oeni wa kwenu then gombeeni urais then mmweke ndani akisubiria misaada kutoka kwenu.Hivi ni lini waTz mtaendelea,yani unaweza kukuta mtoto wa kiume umekalia majungu tuuu,umbea tuuuuu kama mtoto wa kike unayesubiria kuchumbiwa!!!!!!!!!!!!!Mbona mama Maria Nyerere alikuwa anatumia vyombo vya Serikali,mbona mama Sity mwinyi alitumia,mbona mama Mkapa alitumia tena sana tu,yote hayo hamkuyaona,hebu kueni kiakili,hata mkifanya jungu la namna gani mama wa watu atendelea kulindwa na usalama wa Taifa,atatumia vyombo vya serikali kama kawa tena sana tuuu,kama nyie hamuoni matunda ya kazi zake basi kuna waTz wanaona afterall siyo lazima wote turidhike na kila anachokifanya.
Kama imewauma sana kwa First Lady kutumia na kupokelewa na viongozi wa kitaifa,basi mpigieni kura huyo Slaa wenu mwenye Demu badala ya mke,yeye ndo hataruhusiwa kutumia hata ngao ya Taifa mana ni Demu tu na wala si mke.
KA VIPI PASUKENI,BADALA YA UMBEA TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU,MNAKERA SIKU HIZI,UCHAGUZI UMEKWISHA MMEKOSA VYA MAANA KUONGELEA MMEANZA KUWASAKAMA WENZENU,BADALA YA KUPOST TAKATAKA KAMA HIZO NI BORA MUENDE KJIJINI MKALIME NDUGU ZANGU.gO gO gO gO,Salma Kikwete GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOoo.Never lose focus.

salma wa rombo, karibu sana jamvini!

maoni haya ni uthibitisho mwingine kuwa ushamba na ujinga wetu vinatugharimu sana kwa kweli!!
 
rombo SHUT UP PLS,WEWE INAWEZEKANA HUELEWI UPEPO WA DUNIA UNAVUMA VP DUNIA YA LEO
*FIRST LADY CANADA ANAPELEKA WATOTO WAKE SHULE KWA PIKIPIKI.*FIRST LADY UINGEREZA ANAPANDA TRENI KWENDA KAZINI*RAIS KAGAME ANAENDESHA GARI KUPELEKA WATOTO SHULENI NA NDIO ANAENDA OFISINI BILA MSAFARA MKUBWÀ(MAGARI MANNE TU)
*JE KWA UTAJIRI GANI TULIONAO HAPA KWETU HUYU MAMA ANAFANYA HAYOO??...
 
Kazi yenu nyie humu ni majungu tu,hayatakaa yawasaidie,kama huyu mama anawakera oeni wa kwenu then gombeeni urais then mmweke ndani akisubiria misaada kutoka kwenu.Hivi ni lini waTz mtaendelea,yani unaweza kukuta mtoto wa kiume umekalia majungu tuuu,umbea tuuuuu kama mtoto wa kike unayesubiria kuchumbiwa!!!!!!!!!!!!!Mbona mama Maria Nyerere alikuwa anatumia vyombo vya Serikali,mbona mama Sity mwinyi alitumia,mbona mama Mkapa alitumia tena sana tu,yote hayo hamkuyaona,hebu kueni kiakili,hata mkifanya jungu la namna gani mama wa watu atendelea kulindwa na usalama wa Taifa,atatumia vyombo vya serikali kama kawa tena sana tuuu,kama nyie hamuoni matunda ya kazi zake basi kuna waTz wanaona afterall siyo lazima wote turidhike na kila anachokifanya.
Kama imewauma sana kwa First Lady kutumia na kupokelewa na viongozi wa kitaifa,basi mpigieni kura huyo Slaa wenu mwenye Demu badala ya mke,yeye ndo hataruhusiwa kutumia hata ngao ya Taifa mana ni Demu tu na wala si mke.
KA VIPI PASUKENI,BADALA YA UMBEA TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU,MNAKERA SIKU HIZI,UCHAGUZI UMEKWISHA MMEKOSA VYA MAANA KUONGELEA MMEANZA KUWASAKAMA WENZENU,BADALA YA KUPOST TAKATAKA KAMA HIZO NI BORA MUENDE KJIJINI MKALIME NDUGU ZANGU.gO gO gO gO,Salma Kikwete GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOoo.Never lose focus.

Akili yako imeishia hapo. Mbona waromba hawana akili mgando kama wewe?
 
Back
Top Bottom