sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Wakuu, nimenunua matairi ya Good Year, ya South Africa, kilichonishangaza ni hiyo promotion...ukinunua matatu wanakupa moja bure...je kuna mwenye uzoefu wa kutumia matairi haya? Wanadai kama najaza upepo vizuri nitatembelea hadi kilomita 60,000 je hili sio changa la macho?