silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Ukiangalia kwa undani sana utagundua Watanzania tuna feli kwa kila eneo, sasa labda we unafikiri wewe kama Kijana wa Kitanzania mwenye uchu na Maendeleo unashauri nini katika sector zifuatazi?
1. habari, Utamaduni na Michezi
2. Ajira kwa vijana
3. Ulinzi na Usalama
4. Miundo mbinu
5. Utawala Bora
6. Siasa
7. Elimu ya juu
Nafikiri hapo nitakuwa nimegusa katika kila sector inayo sumbua hapa nchini nahitaji maoni yako na wewe useme wapi pana ikwaza selikali yetu
1. habari, Utamaduni na Michezi
2. Ajira kwa vijana
3. Ulinzi na Usalama
4. Miundo mbinu
5. Utawala Bora
6. Siasa
7. Elimu ya juu
Nafikiri hapo nitakuwa nimegusa katika kila sector inayo sumbua hapa nchini nahitaji maoni yako na wewe useme wapi pana ikwaza selikali yetu