Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Bado najiuliza hapa Tanzania kuna cheo cha HAKIMU na pia kuna cheo cha JAJI, sasa neno Jaji tumetoa kutoka neno la kiingereza JUDGE lenye maana ya HAKIMU katika lugha ya kiswahili. Je, kuna haja ya kutafuta neno mbadala?