Nini tofauti ya Advanced diploma na postgraduate diploma?

Kwa Tanzania
1. Zamani Vyuo kama Mzumbe, DIT, IAA n.k vilkua vikitoa Advance Diploma ambayo duration na content yake ni sawa kabisa na Bachelor Degree, hivyo Advance Diploma ni equvalent to Bachelor Degree na hata kwenye Ajira wanapata stahiki sawa kbs na hata kwenye kujiendeleza wote wanapata fursa sawa kbs
2. Kuna mtu hapo juu ametofautisha kuwa Bachelor inataka credit 400+ na kuiita NTA Level 8 na kusema Advance Diploma inataka credit 300+ na kuiita ni NTA Level 7, nataka nfafanue hapa: NTA Level 8 ndio Bachelor Degree, na Hivyo Mwenye NTA Level 8 ya DIT, na mwenye Advance Diploma ya IAA na mwenye Bachelor Degree ya UDSM hawa wote wako sawa kbs.
3. Najazia ya hapo namba 2, NTA Level 7 sio sawa na Bachelor Degree na hivyo wala sio sawa na Advance Diploma, bali NTA Level 7 inaitwa pia Higher Diloma(Usiichanagnye kbs na Advance Diploma). NTA Level 7 iko chini ya NTA Level 8, hivyo utaona haijafikia kuwa sawa nayo na hivyo sio sawa na Bachelor Degree wala na Advance Diploma
4. Postgraduate Diploma ni Diploma itolewayo kwa mwenye Shahada ya Kwanza (Bachelor Degree au Advance Diploma), PD inakusaidia kwa mfano, umesoma Shahada ya kitu A na unataka kupata uelewa wa kitu B hivyo badala ya kwenda kukaa tena miaka mitatu upate Shahada ya kwanzsa nyingine unafanya hiyo PD ya kitu B kwa mwaka mmoja, na ukipenda inakua imekupa fursa ya kwenda kufanya Shahada ya pili ya hicho kitu B. Lakini unakuta una shahada ya kwanza ya kitu A, na unataka kufanya shahada ya pili ya kitu hicho hicho A unakuata wanataka uwe na GPA ya kuanzia 2.7 ktk shahada yako ya kwanza, ww kumbe una GPA ya btn 2.0-2.6 hivyo inakupasa sasa ufanye PD ya hicho kitu A then ndo uendelee kufanya shahada ya hicho kitu A. Hopefully hapo iko clear kbs kwa wadau wote!!!!

Uliotoa uzi huu product ya hizi shule za Kata au? Maana sijawahi sikia kitu kinaitwa ‘Advance Diploma’ bali najua kitu kinaitwa ‘Advanced Diploma’. Hata kuna baadhi utasikia wanasema ‘Advance Level’ badala ya ‘Advanced Level’. Ama kweli elimu ya sasa kwa vijana mnaomaliza vyuo nsipa heko kwa kweli! Duuh!
 
Uliotoa uzi huu product ya hizi shule za Kata au? Maana sijawahi sikia kitu kinaitwa ‘Advance Diploma’ bali najua kitu kinaitwa ‘Advanced Diploma’. Hata kuna baadhi utasikia wanasema ‘Advance Level’ badala ya ‘Advanced Level’. Ama kweli elimu ya sasa kwa vijana mnaomaliza vyuo nsipa heko kwa kweli! Duuh!
Mkuu ww unajua kila kitu Au ujawahi kukosea yani maneno yote ayo umeona tu iyo advance
Sawa nashukuru nimejua ni advanced diploma na sio advance diploma
Lakini unapomrekebisha mtu sio vizuri kukejeli
 
Uliotoa uzi huu product ya hizi shule za Kata au? Maana sijawahi sikia kitu kinaitwa ‘Advance Diploma’ bali najua kitu kinaitwa ‘Advanced Diploma’. Hata kuna baadhi utasikia wanasema ‘Advance Level’ badala ya ‘Advanced Level’. Ama kweli elimu ya sasa kwa vijana mnaomaliza vyuo nsipa heko kwa kweli! Duuh!
"nsipa" ni nini mkuu?
 
Mkuu ww unajua kila kitu Au ujawahi kukosea yani maneno yote ayo umeona tu iyo advance
Sawa nashukuru nimejua ni advanced diploma na sio advance diploma
Lakini unapomrekebisha mtu sio vizuri kukejeli

Rudi darasani.
 
Mkuu ww unajua kila kitu Au ujawahi kukosea yani maneno yote ayo umeona tu iyo advance
Sawa nashukuru nimejua ni advanced diploma na sio advance diploma
Lakini unapomrekebisha mtu sio vizuri kukejeli

Siwezi kukosea maneno kama hayo kwa sababu hata nilivyokuwa nasoma hatua hiyo hayakuwa yanaandikwa wala kutamkwa hivyo. Ni sawa umwambie mtu anakosea kuandika jina lake na hasa la ukoo, mbona itakuwa balaa!
 
Wataalamu naomb msaada wenu
Mtu aliye maliza advance 4m 6 anaweza
Kusoma postgraduate na kama
Ataweza ni kwa alama ganii
 
Uliotoa uzi huu product ya hizi shule za Kata au? Maana sijawahi sikia kitu kinaitwa ‘Advance Diploma’ bali najua kitu kinaitwa ‘Advanced Diploma’. Hata kuna baadhi utasikia wanasema ‘Advance Level’ badala ya ‘Advanced Level’. Ama kweli elimu ya sasa kwa vijana mnaomaliza vyuo nsipa heko kwa kweli! Duuh!
Nashukuru kwa marekebisho yako, uko sahihi, jina ni Advanced Diploma na sio Advance Diploma, ni kuteleza tu katika uandishi, lakini nikupongeze zaidi wewe ambae sio product ya shule za kata mwenye maarifa yaliyojaa hadi kupitiliza na busara kubwa sana ambae uliona kukosoa tu ktk mtizamo chanya huwez ila ni kuwa kukashifu kwanza, hakika mliosoma zamani mmeelimika sana, ubarikiwe!!
 
1. Advanced Diploma ni level ya elimu ambayo hutolewa na baadhi ya nchi kama Bachelors Degree, isipokuwa tofauti inakuwapo katika duration ya course au minimum credit zinazotakiwa kuikamilisha. Mfano, kwa hapa Tanzania, Bachelor Degree inahitaji mtu apate minimum ya credit 480 (NTA Level 8) wakati anayesoma Advanced Diploma anahitajika apate minimum credit 360 (NTA Level 7). Hizi credit huamuliwa na masaa ya kukaa darasani na wakati mwingine weight ya course. Hata hivyo baada ya kumaliza, wote wanahesabiwa kama wapo level moja katika ranking za ajira, vyeo nk, na wote huitwa graduates

2. Postgraduate Diploma ni level ya elimu ambayo husomwa na graduates (Bachelor Degree au Advanced Diploma), ambao wanakuwa na malengo mahususi. Wapo wanaoisoma ili kuunganisha kati ya degree/advanced diploma yao na kile wanachotaka kukisoma katika masters degree au katika kufanya majukumu yao ya kikazi. Mfano kwa Tanzania, mtu anaweza akawa alisoma Bachelor Degree katika mambo ya IT, lakini akawa anafanya biashara katika kampuni yake kama Mkurugenzi, akiona ni muhimu kuwa na ABC za biashara, anaweza akasoma Postgraduate Diploma ya mambo ya Business. Lakini pia kama mtu alisoma degree ya Biashara, na anataka kufanya masters degree ya IT, anaweza akalazimika kusoma kwanza Postgraduate Diploma ya IT. Kuna baadhi ya vyuo pia ni requirement kusoma Postgraduate Diploma kwanza ili uwe na sifa ya kusoma Masters Degree yao iwapo ulisoma Advanced Diploma au ulisoma Bachelor Degree ukashindwa kupata kiwango chao cha chini cha GPA
Hii ndo ipo sahihi zaidi. Nlienda mafunzo ya LMA Nlifundishwa hivi
 
Back
Top Bottom