Andaa passport kwanzaNaomba kujua tofauti ya visa na passport,pia ni njia zipi inatakiwa kuzifuata ili upate hati hizo za kusafiria,Mfano Nataka kwenda Kenya au Marekani! Asanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kama hujawai kupata sifuri leo umeipata hapa jamii forumAhsante mjuaji. Ila sijawahi kupata sifuri. Natamani tufahamiane nilinganishe maisha yangu na yako..
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana likawa goli la mkono,au Refarii anakubeba.Ahsante mjuaji. Ila sijawahi kupata sifuri. Natamani tufahamiane nilinganishe maisha yangu na yako..
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kama hujawai kupata sifuri leo umeipata hapa jamii forum
kuna watu wamo jamiiforum kutukana watu ndio raha yao.Plz cooldown,we are just learning
Basi kama hujawai kupata sifuri leo umeipata hapa jamii forum
Ndio maana mnapata masifuri huko shuleni.
Turekebishane wazoefu wa jamiiforums, kuna kosa lolote au kuna watu maalum wa kuchangia humu???!!!
Niliposoma tu comment ya Jamaa jinsi alivyojibu nikajua tu huu Uzi hauna mwisho mwema!
Mmenichekesha sana aisee
Turekebishane wazoefu wa jamiiforums, kuna kosa lolote au kuna watu maalum wa kuchangia humu???!!!
Ni kweli hakuna Watu maalum wa kuchangia humu!Turekebishane wazoefu wa jamiiforums, kuna kosa lolote au kuna watu maalum wa kuchangia humu???!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, siku nyingine sitakurupuka. Ila huyo mdau anaonekana kama hamnazo dizaini fulani, unaanzaje kumtukana mtu usiyemjua badala ya kumrekebisha?!Hakuna kosa mkuu, sema tu ulichojibu ni tofauti kabisa na swali la mleta mada. Inaonesha ni kama ulikurupuka hivi ndio maana mdau hapo akakutolea uvivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza umeshampoteza mwenzako.Passport:
Hii document ya kusafiria. Hii hutolewa na Nchi husika kwa ajiri ya raia wake wanaotaka kusafiri kwenda nchi nyingini. Simply passport ni kitambulisho cha uraia
VISA:
Hiki ni kibali cha kuishi. Ukitaka kwenda nchi yoyote kwa shughuli yoyotte lazima uwe na kibali cha kuishi huko.
Visa hutofautiana na shughuli inayokupeleke nchi husika.
Mf. Kuna visa ya matibabu, Masomo, Holyday, biashara, kazi na nyingine.
Mf. Ukitaka kwenda india kutibiwa lazima upate Visa ya Matibabu. Utakaa huko hadi utakapo maliza matibabu na visa nayo itakwisha muda wake
Vrou van samaria give me bit of water to drink
Thread kama hizi zinanifanya nitambue kuwajibu baadhi ya wana JF wanaokandia nikiweka thread juu ya mtakabali wa nchi ni kupoteza muda wangu!Naomba kujua tofauti ya visa na passport. Pia ni njia zipi inatakiwa kuzifuata ili upate hati hizo za kusafiria?
Mfano Nataka kwenda Kenya au Marekani! Asanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Passport:
Hii document ya kusafiria. Hii hutolewa na Nchi husika kwa ajiri ya raia wake wanaotaka kusafiri kwenda nchi nyingini. Simply passport ni kitambulisho cha uraia
VISA:
Hiki ni kibali cha kuishi. Ukitaka kwenda nchi yoyote kwa shughuli yoyotte lazima uwe na kibali cha kuishi huko.
Visa hutofautiana na shughuli inayokupeleke nchi husika.
Mf. Kuna visa ya matibabu, Masomo, Holyday, biashara, kazi na nyingine.
Mf. Ukitaka kwenda india kutibiwa lazima upate Visa ya Matibabu. Utakaa huko hadi utakapo maliza matibabu na visa nayo itakwisha muda wake
Vrou van samaria give me bit of water to drink
Passport:
Hii document ya kusafiria. Hii hutolewa na Nchi husika kwa ajiri ya raia wake wanaotaka kusafiri kwenda nchi nyingini. Simply passport ni kitambulisho cha uraia
VISA:
Hiki ni kibali cha kuishi. Ukitaka kwenda nchi yoyote kwa shughuli yoyotte lazima uwe na kibali cha kuishi huko.
Visa hutofautiana na shughuli inayokupeleke nchi husika.
Mf. Kuna visa ya matibabu, Masomo, Holyday, biashara, kazi na nyingine.
Mf. Ukitaka kwenda india kutibiwa lazima upate Visa ya Matibabu. Utakaa huko hadi utakapo maliza matibabu na visa nayo itakwisha muda wake
Vrou van samaria give me bit of water to drink