Nini tofauti kati ya 'tumsifu Yesu kristo' na bwana Yesu asifiwe'?'

Sentensi ya kwanza "Tumsifu Yesu Kristo" imeanza na prediketa "Tumsifu"
WAKATI
Sentensi ya pili "Bwana asifiwe" imeanza na shamirisho "Bwana"
Hivyo utofauti upo kwenye sintanksia yaani mpangilio wa maneno katika sentensi lakini katika semantiki maana ni ile ile kwa sababu wahusika ni mtu yuleyule na hata tendo ni lilelile.
 
Sentensi ya kwanza "Tumsifu Yesu Kristo" imeanza na prediketa "Tumsifu"
WAKATI
Sentensi ya pili "Bwana asifiwe" imeanza na shamirisho "Bwana"
Hivyo utofauti upo kwenye sintanksia yaani mpangilio wa maneno katika sentensi lakini katika semantiki maana ni ile ile kwa sababu wahusika ni mtu yuleyule na hata tendo ni lilelile.
Sijui kama umeelewa hoja naona unatumia nguvu nyingi kuelimisha...swali ni kwanini salumu hizo zinafanana maana lakini utamshi ni tofauti
 
Sioni kwa nini anaposimama Kiongozi, au Msemaji yeyote kwenye mkusanyiko kusalimu 'asalam aleykum' na tena aseme mara mbili 'Bwana asifiwe' na Tumsifu Yesu Kristo'
Ukisoma vizuri ulichoandika..utaona kwamba,salamu ya 'Bwana Asifiwe' haisemi neno 'Kristu/Kristo'...yaani haijamtambua kama mpakwa mafuta.!

Ila salamu ya 'Tumsifu Yesu Kristu' imemtambua kama mpakwa mafuta.

Maana ya 'Kristu' ni mpakwa mafuta..Mteule wa Mungu
 
Ukisoma vizuri ulichoandika..utaona kwamba,salamu ya 'Bwana Asifiwe' haisemi neno 'Kristu/Kristo'...yaani haijamtambua kama mpakwa mafuta.!

Ila salamu ya 'Tumsifu Yesu Kristu' imemtambua kama mpakwa mafuta.

Maana ya 'Kristu' ni mpakwa mafuta..Mteule wa Mungu
Ni maandishi tu lakini huwa mara nyingi inatamkwa "Bwana Yesu asifiwe"
 
Sijui kama umeelewa hoja naona unatumia nguvu nyingi kuelimisha...swali ni kwanini salumu hizo zinafanana maana lakini utamshi ni tofauti
Hata wewe sijui kama hoja umeielewa pia.Kichwa cha uzi kinasema "Nini tofauti kati ya TUMSIFU YESU KRISTO na BWANA AFIWE" ina maana anahitaji utofauti wa sentensi hizo na wewe umeongeza swali lingine la kwako ni "kwanini salumu hizo zinafanana maana lakini utamshi ni tofauti" hivyo nimemjibu mtoa mada na sio wewe pia ni vizuri ukaelewa maelezo ya mtu na sio kukurupuka tu kukosoa mtu sasa hapo wewe ndio umetumia nguvu nyingi kwenye kukosoa na sio kuelewa nilichokiandika.

NINAPOKUONESHA MWEZI NAWE USIANGALIE KIDOLE.
 
Back
Top Bottom