The Most correct answer.Nijuavyo mimi; hela, pesa na fedha ni maneno tofauti yenye maana moja (synonyms).
• Pesa ni neno lililotoholewa kutoka katika Lugha ya Kihindi (Paisa).
• Hela ni neno lililotoholewa kutoka katika Lugha ya Kijerumani (Heller).
• Fedha ni neno lililotoholewa kutoka katika Lugha ya Kilatini.
Yote yana maana moja.
Mama mchungaji kwa kiswahili uko vizuriHapo umegeuzia mkuu
"Ndio" ilitakiwa iwe kwenye sentensi ya kwanza
Na" ndiyo" kwenye sentensi ya pili
"Ndio "hutumika kuelezea kitu
Yaani hapo ilitakiwa useme"hiyo ndio nyumba yangu"
Sentensi ya pili alama ya" ndiyo "yaani kukubali
Ungeandika "weka alama ya ndiyo kwa mgombea wetu"
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Fedha ?Pesa ndo kiswahili fasaha,neno Heller(hela) ni neno lenye asili ya kijerumani likimaanisha pesa so tumetohoa toka lugha ya kijerumani mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa lina asili ya kihindi Paisapesa ni neno la kiswahili hela ni neno lenye asili ya kijerumani HELLER Ila yote maana ni ile ile.
Hela pesa lina majina mengi sana ya kimitaani kwa vile ni kitu kizuri
Ngawira,njuluku,mkwanja,mawe,kokoto,kakakuona,
Nijuavyo mimi; hela, pesa na fedha ni maneno tofauti yenye maana moja (synonyms).
• Pesa ni neno lililotoholewa kutoka katika Lugha ya Kihindi (Paisa).
• Hela ni neno lililotoholewa kutoka katika Lugha ya Kijerumani (Heller).
• Fedha ni neno lililotoholewa kutoka katika Lugha ya Kilatini.
Yote yana maana moja.