yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,226
- 4,894
Naibu raisi wenu vilevileBashite ni Mkuu wa Mikoa...
Naibu raisi wenu vilevileBashite ni Mkuu wa Mikoa...
ondo nininiHapa TZ naona ipo shida pahala, Makam wa Rais ; Kishondo chake hakifikii cha Waziri mkuu.Si kwa awamu hii pekee,awamu zote.
Ladda tutajua umuhimu zaidi siku Muumba akimpenda zaidi mkuu.
Mweeh, jamanii nimejikuta nacheka tu.Bashite - Hand of the King.
Kamata dictonary uako. Angalia kama deputy na vice zina maana moja.