Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Wakuu, mtakumbuka msimu uliopita wa haya mashindano ya Azam Sports klabu ya Simba, Tena ikiwa inaongoza ligi kuu, ilitolewa na Green Warriors. Mtukufu mfadhiri hakupendezwa na kuuagiza uongozi wa klabu kumtimua kocha Omog. Sasa Simba msimu huu haiongozi ligi na jana imetolewa kwenye mashindano haya ya Azam Sports na timu ya Mashujaa FC. Nasubiri mtukufu mfadhiri sasa akiwa ndani ya klabu aamue dhidi ya kocha huyu.