Formula 1 haswa inahusisha mashindano ya magari kwa Kiswahili kingine wanayaita Langa Langa, yamekuwa design Kwa kukaa dreva mmoja na huwa yanafanyika kwenye viwanja vilivyo na bara bara maalum, ndo unakuta watu kma wakina Hamilton n.k. Grand Prix huwa inahusisha piki piki haswa zile za cc kubwa zaidi mfano ni Moto GP, hapo utawakuta mabingwa mara nyingi zaidi kma Valentino Rossi ambye ni Mtaliano, Lorenzo n.k Kwa ufupi ndo hivyo, mayo huwa yanafanyika kwenye pitch maalum.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.