Wadau,kwa mujibu wa sheria za kazi za Tz,nini tofauti ya annual leave na unpaid leave?Na je vyote ni sawa?Au je,mwajiri anaweza ku'define' anavyojua yeye au tuseme kutumia maneno haya interchangeably?Je,mtu akiwa ktk annual leave hastahili kupewa mshahara,hadi akimaliza hiyo leave??