Nini tiba ya ugonjwa wa baridi yabisi ama rhumatisim?

tiku

JF-Expert Member
Oct 31, 2015
439
240
Habari wandugu ninatatizo la baridi yabisi ni nini dawa yake maana wamenambia hospitali hamnaga dawa zaidi ya antpain. Najisikia mwili unaungua moto hasa sehemu za baridi, kwenye joint hasa magoti yanauma hatabkutembea kazi nateseka kwa ujumla nisaidie mwenye kujua.
 
Habari wandugu ninatatizo la baridi yabisi ni nini dawa yake maana wamenambia hospitali hamnaga dawa zaidi ya antpain. Najisikia mwili unaungua moto hasa sehemu za baridi, kwenye joint hasa magoti yanauma hatabkutembea kazi nateseka kwa ujumla nisaidie mwenye kujua.
Wakikupa majibu na mm naomba nidokezeee mkuu
 
Du watu humu lah wameview watu 33 lkn hajajibu mtu, dr mzizi mkavu naomba msaada wako
Mkuu kumbuka hili ni jukwaa linalo hitaji werevu wa hali ya juu ama mtu kuwa alishawahi pata tiba kama hiyo ili akupe jibu. Hivyo usistuke na views
 
Habari wandugu ninatatizo la baridi yabisi ni nini dawa yake maana wamenambia hospitali hamnaga dawa zaidi ya antpain. Najisikia mwili unaungua moto hasa sehemu za baridi, kwenye joint hasa magoti yanauma hatabkutembea kazi nateseka kwa ujumla nisaidie mwenye kujua.

Dawa Hospitali zipo za Kichina, niliwahi kutibiwa kwa kupewa vidonge nikatumia kwa zaidi ya mwezi na baadae nikachomwa sindano kwa wiki mbili kila siku sindano moja.
 
Dawa Hospitali zipo za Kichina, niliwahi kutibiwa kwa kupewa vidonge nikatumia kwa zaidi ya mwezi na baadae nikachomwa sindano kwa wiki mbili kila siku sindano moja.
Mkuu ni hospitali gani na ni mkoa gani, nisaidie mkuu nateseka sana
 

UFAHAMU UGONJWA WA BARIDI YABISI (Arthritis)



View attachment 450643

NINI HUSABABISHA MARADHI HAYA?


Ni uwepo wa sumu nyingi za tindikali mbaya katika mwili (uric acid) na wakati mwingine ni maambukizo ya bakteria, virusi, na matatizo ya kinasaba.

URIC ACID NI SUMU GANI?
Ni tindikali mbaya inayotengenezwa mwilini kutokana na maozea (putrid mass) ya vyakula vya nyama, mafuta ya wanyama, seli hai za mwili zilizokufa mwilini pamoja na vyakula na vinywaji vingine vingi visivyo vya asili (vyakula mtumba na vya anasa).

INATOKEAJE VIUNGO KUUMA NA KUVIMBA?
Kadri ‘uric acid’ zinapotawala mwili ndivyo damu hudhoofishwa nguvu yake ya kiutendaji na misuli hushambuliwa na vipenyo vyake huziba. Hivyo ‘uric acid’ huwasha na kukereketa katika minofu sehemu ambako damu haifiki kwa kiwango kinachotakiwa. Hali ya kuvimba huwa ni matokeo ya juhudi za mwili kujihami na kujinusuru na ‘uric acid.’

URIC ACID HUVAMIA VIUNGO GANI?
Kadri tindikali mbaya (uric acid) inavyotapakaa mwilini ndivyo mwili hujitahidi kuiondoa kwenye mkondo wa damu na hivyo kuitupa kwenye minofu au kwenye ngozi, hapo ndipo figo, ini, moyo, tezi dume, kongosho na ubongo ambapo misuli midogo ya damu katika viungo hivyo hushambuliwa na kuziba, ndipo viungo hivyo na vingine vingi hudhoofika na kuteteleka kiutendaji huku vikileta dalili za kuugua.

ORODHA YA VYAKULA VINAVYOTENGENEZA ‘URIC ACID’?
Orodha hii ndiyo huchangia kutengeneza ‘uric acid’ nyama za aina zote, mafuta ya wanyama , mafuta yenye lehemu (cholesterol) yaliyotengenezwa kiwandani, tumbaku, pombe za aina zote, bangi na mihadarati, kahawa, vidonge vya kemikali, vyakula vya rojorojo vya kianasa, maziwa, soda, kola na mikate mitamu iliyotengenezwa kwa hamira za kiwandani.

NAWEZA KUTIBIWA NA KUPONA MARADHI YA BARIDI YABISI?

Kuwahi ugonjwa ni kupona, lakini kukawia kutibiwa ni kujileteleza ulemavu na pengine kifo kabisa. Hivyo ni vizuri ukawahi kupata matibabu mapema mara unapohisi dalili za ugonjwa huu.

DAWA GANI ZINATIBU MARADHI YA BARIDI YABISI?
Dawa za kizungu (vidonge) na dawa za mitishamba (za asili) zote zinatibu kikamilifu endapo tu hazitachanganywa na kemikali mbaya, kwani kemikali mbaya inapoingia mwilini hugeuka kuwa tindikali nyingine mbaya mno ambayo huunga mkono ‘uric acid’ na vyote kwa pamoja kuuangamiza mwili taratibu pasipo utetezi.

MGONJWA WA MARADHI HAYA ALE CHAKULA KIPI ?
Maji ni muhimu sana, hivyo mgonjwa anywe kila siku lita 2 hadi 4 za maji safi Maji ya Uvuguvugu na salama. Pia ajikite kula vyakula vya asili zaidi ambavyo ni pamoja na mboga za majani na matunda ya aina mbalimbali hasa yale yasiyo na sukari (citrus,) maharage ya soya pamoja nakufanya mazoezi ya viungo ya kutosha. Ikiwa umeathirika tayari ni vizuri ukaenda hospitali au wasiliana nami kwa kupata tiba njema na kwa muda mfupi.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Dk mzizi mkavu.mm naumwa viungo sana.yaaan nmekua ni mtu wa kumeza dawa za naumivu ndio niende mihangaikoni.hospital nimepima vupimo vyote adi uric acid na io baridi yabisi lakini sina ila viungo vinauma adi kulala bila dawa ya maumivu siwezi yaaan.miguu inauma kiuno usiseme.mikono pia inauma adi kidole kimoja kimevimba.mkono misuli ya vidole kupanda juu inauma adi kuna mda nashindwa hata kuvaa nguo adi nmeze dawa za maumivu ndio napoa angalau.nini inaweza kua tatizo??week ya pilu sasa nmeacha pombe na kula aina yoyote ya nyama nyrkundu lakini hali tete.msaada pliz
 
Dk mzizi mkavu.mm naumwa viungo sana.yaaan nmekua ni mtu wa kumeza dawa za naumivu ndio niende mihangaikoni.hospital nimepima vupimo vyote adi uric acid na io baridi yabisi lakini sina ila viungo vinauma adi kulala bila dawa ya maumivu siwezi yaaan.miguu inauma kiuno usiseme.mikono pia inauma adi kidole kimoja kimevimba.mkono misuli ya vidole kupanda juu inauma adi kuna mda nashindwa hata kuvaa nguo adi nmeze dawa za maumivu ndio napoa angalau.nini inaweza kua tatizo??week ya pilu sasa nmeacha pombe na kula aina yoyote ya nyama nyrkundu lakini hali tete.msaada pliz
Omba rufaa uende KCMC au Muhimbili hiyo ni dalili ya rheumatic disease unapatikana maeneo yapi kama niya baridi jitahidi uamie sehemu yenye joto, je una tatizo la matezi kuvimba.
 
Jaribu kutumia blackseeds oil, nadhani ni dawa bora sana miongoni mwa tiba mbadala.
 
Dk mzizi mkavu.mm naumwa viungo sana.yaaan nmekua ni mtu wa kumeza dawa za naumivu ndio niende mihangaikoni.hospital nimepima vupimo vyote adi uric acid na io baridi yabisi lakini sina ila viungo vinauma adi kulala bila dawa ya maumivu siwezi yaaan.miguu inauma kiuno usiseme.mikono pia inauma adi kidole kimoja kimevimba.mkono misuli ya vidole kupanda juu inauma adi kuna mda nashindwa hata kuvaa nguo adi nmeze dawa za maumivu ndio napoa angalau.nini inaweza kua tatizo??week ya pilu sasa nmeacha pombe na kula aina yoyote ya nyama nyrkundu lakini hali tete.msaada pliz
Bro hiyo ni barid yabis niliangaika mwaka juzi kila hospital sikupatikana na tatizo mwisho ukagundulika hapa zenji na mtaalamu wa mifupa.sasa hivi naishi kwa masharti sina tatizo Mungu anasaidia
 
Bro hiyo ni barid yabis niliangaika mwaka juzi kila hospital sikupatikana na tatizo mwisho ukagundulika hapa zenji na mtaalamu wa mifupa.sasa hivi naishi kwa masharti sina tatizo Mungu anasaidia
Nimepima hospital io baridi yabisi lakini vimeonyesha hakuna adi kipimo cha uric acid nimefanya lakini kimeonyesha ni normal.inawezekana vipimo vinakosea wakati ugonjwa upo??
 
Nimepima hospital io baridi yabisi lakini vimeonyesha hakuna adi kipimo cha uric acid nimefanya lakini kimeonyesha ni normal.inawezekana vipimo vinakosea wakati ugonjwa upo??
Kaka sikufichi kinachokutokea wewe leo ndio kilichonotokea mimi na nina baadh ya hospital nikienda hadi leo wananiambia sina huo ugonjwa.hebu chukua namba yangu tushauriane labda ukifata mashart kama yangu unaeza pata nafuu
 
Jaribu kutumia blackseeds oil, nadhani ni dawa bora sana miongoni mwa tiba mbadala.
Mimi nilisha itumia sana black seed oil lkn nikama panado inatuliza tu siku mbili tatu maumivu palepale
 
Mimi nilisha itumia sana black seed oil lkn nikama panado inatuliza tu siku mbili tatu maumivu palepale
Blackseeds oil, ni moja ya tiba za asili, matokeo yake yaweza yasiwe ya haraka kama unavyokusudia lakini yanaweza kuwa ya uhakika zaidi. Kuliko matumizi ya dawa za chemikali ambazo bila shaka huenda zikaongeza tatizo sikunza usoni.
 
Habari wandugu ninatatizo la baridi yabisi ni nini dawa yake maana wamenambia hospitali hamnaga dawa zaidi ya antpain. Najisikia mwili unaungua moto hasa sehemu za baridi, kwenye joint hasa magoti yanauma hatabkutembea kazi nateseka kwa ujumla nisaidie mwenye kujua.
Straight to the point...Tumia NAT B Tab.1 tab twice per day for one moth pamoja na osteocare tablet...one tablet once per day for one month...Tumia ethylchrolide spray kupulizia sehemu zenye maumivu...Dawa kama indomethacin caps utatumia pia kwa dose ya 50mg twice per day kwa wiki mbili.Shida ikieendelea au bila kupata relief nenda hospital vema kama utampata physiotherapist.
 
Habari wandugu ninatatizo la baridi yabisi ni nini dawa yake maana wamenambia hospitali hamnaga dawa zaidi ya antpain. Najisikia mwili unaungua moto hasa sehemu za baridi, kwenye joint hasa magoti yanauma hatabkutembea kazi nateseka kwa ujumla nisaidie mwenye kujua.
Huu ugonjwa ulinisumbua sanaaa.
Ila sasa hivi sijawahi kuusikia tena.

Nitakutafuta mama kujua kuwa wewe hali ipoje?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom