Nini tiba ya tumbo kujaa gesi na mwili kufa ganzi(kauka)

Ally maganga

JF-Expert Member
Jan 18, 2014
1,433
909
Habari wakuu!

Niingie moja kwa moja kwenye mada,

Mama yangu alikuwa na malaria alikunywa dawa mara baada ya kumaliza dose alipata tatizo la tumbo kujaa gesi na mwili kufa ganzi.

Pia anasumbuliwa na kidonda ambacho alikipata mara baada ya kukanyaga mwiba wakati yupo shambani.

Tulipoenda hospital baada ya vipimo alikutwa na H pylori positive akapewa Dawa
lakini leo ni Siku ya tatu tokea aanze Dawa hakuna unafuu wowote.

Naombeni ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
h pylori siku tatu unalalama unafuu watu tumeangaika miaka na miaka unakuja pona hujui hata dawa ilokuponyesha.

ninachokushauri mwambie b/mkubwa aacha kutumia vitu vyenye acid kwa wingi soda iwe mwiko
kinywaji chake ukiacha maji kiwe juice ya parachichi kwa siku asikose glass moja mboga yake iwe mlenda uliotengenezwa na magadi kwa siku mchana asikose.

Maziwa hayasaidii chochote atazidi kujiumiza

ale chakura kwa wakati asiruhusu njaa imuume mpka ipoe

ajiachie asiwe mtu mwenye mawazo ama sivyo hataumwa kila kitu katika mwili wake. jambo kubwa kuliko lote asinywe dawa bila kupima ugonjwa wowote mana hao wadudu ukikutwa nao kila ugonjwa utaumwa wewe kuanzia moyo mpk figo ini homa za mara kwa mara tumbo uti kukooa kukooa damu miguu kuuma kukosa nguvu mwili kupoteza uzito

yaan unaweza jihisi umeukwaa
kuna uzi wake humu hizo shuhuda zake ni noma
sikutishi ila ukweli ndo upo hivyo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom