Kwa muda sasa nimekuwa nikishuhudia watu wengi wakipatwa na ugonjwa wa Presha na kisukari. Lakini mara wanapogundulika kuwa na ugonjwa upewa dawa za hospital na wengine huanzishiwa kliniki lakini kupona kabisa ni hamna.
Nina rafiki yangu kijana mwenye umri wa miaka 39 kabla ya kupima na kugundulika na Presha alikuwa anaishi vizuri huku akila karibu Kila chakula. Licha ya kuwa alikuwa na matatizo ya mkono wa kushoto kuishiwa nguvu mara Moja Moja.
Sasa wiki iliyopita alipima na kugundulika ana Presha tangu amepima ugonjwa ndio umeongezeka mara dufu mpaka mwili mzima unaishiwa nguvu na anashindwa kufanya kazi kama kawaida na anapopata swala la kunkwaza kidogo ila inakuwa mbaya zaidi.
Dawa alizopewa hospital nimemshauri asianze kuzitumia kwanza. Naomba wanajukwaa mnisaidie dawa sahihi ya huu ugonjwa ni ipi na je mtu mwenye tatizo kama hili anatakiwa kufanya nini?
Natanguliza shukrani.
Nina rafiki yangu kijana mwenye umri wa miaka 39 kabla ya kupima na kugundulika na Presha alikuwa anaishi vizuri huku akila karibu Kila chakula. Licha ya kuwa alikuwa na matatizo ya mkono wa kushoto kuishiwa nguvu mara Moja Moja.
Sasa wiki iliyopita alipima na kugundulika ana Presha tangu amepima ugonjwa ndio umeongezeka mara dufu mpaka mwili mzima unaishiwa nguvu na anashindwa kufanya kazi kama kawaida na anapopata swala la kunkwaza kidogo ila inakuwa mbaya zaidi.
Dawa alizopewa hospital nimemshauri asianze kuzitumia kwanza. Naomba wanajukwaa mnisaidie dawa sahihi ya huu ugonjwa ni ipi na je mtu mwenye tatizo kama hili anatakiwa kufanya nini?
Natanguliza shukrani.