Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,223
- 7,993
!
!
Bila kutafakari amejikuta karopoka... Tafsiri ya harakahaka ni kwamba the system was corrupt, it corrupt and it will be corrupt bila Magu. Lakini pia Tafsiri nyingine ni kwamba kuna watu wapo juu ya sheria na wataweza fanya lolote na wasifanywe lolote. Kujaribu Kumhonga askari ni kosa kisheria, nadhani pia na rais
!
Bila kutafakari amejikuta karopoka... Tafsiri ya harakahaka ni kwamba the system was corrupt, it corrupt and it will be corrupt bila Magu. Lakini pia Tafsiri nyingine ni kwamba kuna watu wapo juu ya sheria na wataweza fanya lolote na wasifanywe lolote. Kujaribu Kumhonga askari ni kosa kisheria, nadhani pia na rais