Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,968
Hii inaonesha wazi kuw a rais naye kuna watu anawaogopa maana siku hiyo alidai kuna watu majina anayo waliotaka kukwamisha kamati. Sasa hao watu ni akina nani na anewachukulia hatua gani? Huyo aliyetaka kumuhonga ni nani na kwanini asimkamate?!