Nini suruhisho la kuepuka ama kupunguza athari za msongo wa mawazo?

Habarini wakuu!

Natumaini pasaka ilikuwa vyema kabisa kwetu sote,tujikite kwenye topic

Binafsi kwa miaka ya karibuni nimeanza kuona matokeo ya stress zisizokwisha,binafsi huniwia ugumu mno kuzuia hali hii kwa sababu ya changamoto za kimaisha (bado napambana kuzitatua) ,hizi n outcomes zilizojitokeza

Maumivu ya kichwa yasiyokwisha

Kizunguzungu(baada ya kupima niliambiwa ni presha)

Uchovu usio wa kawaida

Kchefuchefu na kukosa hamu ya kula

Kupoteza uzito kutoka 55 kilos had 46kilos

Anxiety

Haya ni matokeo machungu nayoyaona na nadhan nimeshaadhiriwa sana kisaikolojia

Je inawezekana kuushinda msongo wa mawazo mahali ambapo ni vigumu kutatua changamoto zinazokukabili?

Huna dawa zisizo na madhara zinazweza kusaidia tatizo hili?
WaTZ kama wewe tupo wengi kaka na mchawi wetu ni mmoja tu.Anyway dawa pekee ya msongo wa mawazo ni kuwa na dharau kuhusu mapito yako.
 
WaTZ kama wewe tupo wengi kaka na mchawi wetu ni mmoja tu.Anyway dawa pekee ya msongo wa mawazo ni kuwa na dharau kuhusu mapito yako.
Haha ni vizri kutafuta reliever tusije kufa siku si zetu
 
Habarini wakuu!

Natumaini pasaka ilikuwa vyema kabisa kwetu sote,tujikite kwenye topic

Binafsi kwa miaka ya karibuni nimeanza kuona matokeo ya stress zisizokwisha,binafsi huniwia ugumu mno kuzuia hali hii kwa sababu ya changamoto za kimaisha (bado napambana kuzitatua) ,hizi n outcomes zilizojitokeza

Maumivu ya kichwa yasiyokwisha

Kizunguzungu(baada ya kupima niliambiwa ni presha)

Uchovu usio wa kawaida

Kchefuchefu na kukosa hamu ya kula

Kupoteza uzito kutoka 55 kilos had 46kilos

Anxiety

Haya ni matokeo machungu nayoyaona na nadhan nimeshaadhiriwa sana kisaikolojia

Je inawezekana kuushinda msongo wa mawazo mahali ambapo ni vigumu kutatua changamoto zinazokukabili?

Huna dawa zisizo na madhara zinazweza kusaidia tatizo hili?
Pole mkuu,,pole mno,,hii hali ilinikuta miaka minne iliyopita baada ya kufiwa ,nlipungua kutoka kg 65 ad 48.Nilichukua hatua zifuatazo
1.Nilitafuta kua karibu na watu ambao walikua wakinishauri,kunifariji kunitia moyo na kunipa mawazo chanya.
2.Nilishauriwa kufanya mazoezi japo mara mbil kwa Siku.
3.Kula chakula cha kushiba na kunywa maji mengi.
4.Nilijipa moyo kwamba hatarudi tena hivyo nisiendelee kuumia mwishowe nisije kuugua
5.Niliongeza ibada na kusoma vitabu vitakakatifu huku nikizingatia zaidi ile mistari inayofariji na kutia moyo
6.Sikujiingiza kwenye mahusiano kwa sabab yanaweza kua chanzo cha kukuongezea msongo wa mawazo.
7.Nilikua najichanganya na watu ili kujaribu kupoteza yale mawazo yalikokua yakinisumbua.
8.Nilikua napata muda mzuri wa kupumzika.

Msongo wa mawazo unatesa sana,unaweza ukajiona uko peke yako hapa dunian,ila usikate tamaa,,fuata ushaur uliopewa na wakuu utakaokufaa kulingna na changamoto inayokukabili,nina iman utakaa sawa.
 
  • Thanks
Reactions: Ctr
Asan
Pole mkuu,,pole mno,,hii hali ilinikuta miaka minne iliyopita baada ya kufiwa ,nlipungua kutoka kg 65 ad 48.Nilichukua hatua zifuatazo
1.Nilitafuta kua karibu na watu ambao walikua wakinishauri,kunifariji kunitia moyo na kunipa mawazo chanya.
2.Nilishauriwa kufanya mazoezi japo mara mbil kwa Siku.
3.Kula chakula cha kushiba na kunywa maji mengi.
4.Nilijipa moyo kwamba hatarudi tena hivyo nisiendelee kuumia mwishowe nisije kuugua
5.Niliongeza ibada na kusoma vitabu vitakakatifu huku nikizingatia zaidi ile mistari inayofariji na kutia moyo
6.Sikujiingiza kwenye mahusiano kwa sabab yanaweza kua chanzo cha kukuongezea msongo wa mawazo.
7.Nilikua najichanganya na watu ili kujaribu kupoteza yale mawazo yalikokua yakinisumbua.
8.Nilikua napata muda mzuri wa kupumzika.

Msongo wa mawazo unatesa sana,unaweza ukajiona uko peke yako hapa dunian,ila usikate tamaa,,fuata ushaur uliopewa na wakuu utakaokufaa kulingna na changamoto inayokukabili,nina iman utakaa sawa.
Ahsante mkuu kwa ushauri murua barikiwa sana naamini ushauri wako hautonisadia mimi pekee be blessed
 
Anza kubeti, utajua kuna vitu vingi vya kuvifikiria kuliko maisha yako.
 
Tafuta demu acha ukauzu...au unaogopa kubonga?

Pili; Kuwa mtu wa mazoezou. Mfano asubuhi kabla ya kazi kimbia 10 kms;

Tatu; Jitahidi kutokuwa mwnyewe
 
Back
Top Bottom