Kwa wajuvi wa mambo, salaam kwenu wadau,
Limetolewa tangazo rasmi sasa kwa pori Tengefu la Kigosi almaarufu Game lilioko ukanda wa magharibi mwa nchi yetu kuwa Hifadhi ya Taifa.
Binasfi naifahamu mbuga inapatikana kanda ya ziwa,,upande wa kaskazini inapakana na wilaya ya Bukombe kuanzia maeneo ya buntubili mpaka maeneo ya bugelenga,,msasani,,nyakasaluma,,inaenda mkoa wa shinyanga wilaya ya ushetu,,inaingia tabora wilaya ya urambo kidogo n.k. upande wa magharibi inapakana na wilaya ya kakonko mkoa wa kigoma na inaungana nafikiri na pori la myowozi.
Hoja yangu hapa ni kuwa kanda ya ziwa lipo tatizo kubwa la maeneo ya malisho ya mifugo ya jamii inayolizunguka lililokuwa pori hili la akiba na sasa ni Mbuga rasmi,,wafugaji wengi walikosa malisho kbs kutokana na kazi za kilimo na watu wakaanza kuingiza mifugo katika poli la halimashauri na mwisho wa siku wakawa wanachungia ndani ya pori hili ambalo sasa ni Mbuga,, Miaka ya hapa nyuma tumeshuhudia wafugaji wakitaifishwa mifugo yao kwa kosa la kuingiza mifugo game reserve na kwa kweli wengi waliumia kwa maumivu makali na game reserve wa maeneo haya ni wala rushwa wa kutosha.
Kuna operation ya ondoa mifugo amabayo ilifanyika kwa ufanisi miaka ya 2016 na kuendelea,,kiukweli amabao hawayajui haya mambo watayaona kirahisi lakini hali ilivokuwa ni ya kuumiza sana,,wabunge wa mae eo haya waliyapigia kelele sana haya na utaifishwaji huu wa mifugo ya watu,,kwa wanaojua mazingira ya maeneo haya wataelewa kuwa maeneo ya kufugia hakuna kabisa na hakuna njia mbadala wa watu hawa wafanyeje,,tulifikiri labda pori hili lingemegwa japo kidogo kuwapa unafuu wafugaji hawa.
Sasa serikali inawafikiriaje wafugaji wa maeneo haya maana kiuhalisia hawana kabisa maeneo ya malisho, wengi wamekimbilia mapori ya biharamlo,,uvinza na kasulu ambako nako baada ya muda hali itakuwa mbaya. Kwa nini watu wizara hizi zinazoingiliana za mifugo,ardhi na watu wa utalii walio na dhamana ya mbuga hizi wakatafakari kwa kina na kuwasaidia watu wa eneo hili.
Lengo ni kujaribu kuona naman nzuri ya kuwasaidia wafugaji ambao hawana pa kwenda,,
Hapa jukwaani ni mahali ambapo naamini vionvozi wetu wanapata pata data kidgo zinazowasaidia kujua changamoto za jamii kiurahisi pia,,karibuni wadau kwa maoni na michango yenu juu ya hili kwamba tunaweza kuwa na cha kuwashauri viongozi wetu kupitia jukwaa hili.
Limetolewa tangazo rasmi sasa kwa pori Tengefu la Kigosi almaarufu Game lilioko ukanda wa magharibi mwa nchi yetu kuwa Hifadhi ya Taifa.
Binasfi naifahamu mbuga inapatikana kanda ya ziwa,,upande wa kaskazini inapakana na wilaya ya Bukombe kuanzia maeneo ya buntubili mpaka maeneo ya bugelenga,,msasani,,nyakasaluma,,inaenda mkoa wa shinyanga wilaya ya ushetu,,inaingia tabora wilaya ya urambo kidogo n.k. upande wa magharibi inapakana na wilaya ya kakonko mkoa wa kigoma na inaungana nafikiri na pori la myowozi.
Hoja yangu hapa ni kuwa kanda ya ziwa lipo tatizo kubwa la maeneo ya malisho ya mifugo ya jamii inayolizunguka lililokuwa pori hili la akiba na sasa ni Mbuga rasmi,,wafugaji wengi walikosa malisho kbs kutokana na kazi za kilimo na watu wakaanza kuingiza mifugo katika poli la halimashauri na mwisho wa siku wakawa wanachungia ndani ya pori hili ambalo sasa ni Mbuga,, Miaka ya hapa nyuma tumeshuhudia wafugaji wakitaifishwa mifugo yao kwa kosa la kuingiza mifugo game reserve na kwa kweli wengi waliumia kwa maumivu makali na game reserve wa maeneo haya ni wala rushwa wa kutosha.
Kuna operation ya ondoa mifugo amabayo ilifanyika kwa ufanisi miaka ya 2016 na kuendelea,,kiukweli amabao hawayajui haya mambo watayaona kirahisi lakini hali ilivokuwa ni ya kuumiza sana,,wabunge wa mae eo haya waliyapigia kelele sana haya na utaifishwaji huu wa mifugo ya watu,,kwa wanaojua mazingira ya maeneo haya wataelewa kuwa maeneo ya kufugia hakuna kabisa na hakuna njia mbadala wa watu hawa wafanyeje,,tulifikiri labda pori hili lingemegwa japo kidogo kuwapa unafuu wafugaji hawa.
Sasa serikali inawafikiriaje wafugaji wa maeneo haya maana kiuhalisia hawana kabisa maeneo ya malisho, wengi wamekimbilia mapori ya biharamlo,,uvinza na kasulu ambako nako baada ya muda hali itakuwa mbaya. Kwa nini watu wizara hizi zinazoingiliana za mifugo,ardhi na watu wa utalii walio na dhamana ya mbuga hizi wakatafakari kwa kina na kuwasaidia watu wa eneo hili.
Lengo ni kujaribu kuona naman nzuri ya kuwasaidia wafugaji ambao hawana pa kwenda,,
Hapa jukwaani ni mahali ambapo naamini vionvozi wetu wanapata pata data kidgo zinazowasaidia kujua changamoto za jamii kiurahisi pia,,karibuni wadau kwa maoni na michango yenu juu ya hili kwamba tunaweza kuwa na cha kuwashauri viongozi wetu kupitia jukwaa hili.