babkaju3
Senior Member
- Mar 9, 2015
- 118
- 92
Habari wana jamii doctors naomba msaada kuweza kufahamu nn suluhisho la huu ugonjwa wa U.T.I kwa dada zetu umekuwa ni ugonjwa ambao uwahishi kila wapimapo au wana kosea wapi maana dawa kama dawa wame shakunywa sana sindano wamesha choma sana lkn kila baada ya miez sita mwaka ana kuwa nao SHIDA IKO WAPI asanteni sana