swali zuri sana G spanner, nimeona nilifupishe jibu lako, lakini kupata maelezo zaidi tafadhari tembelea Utangulizi | maajabu ya maji au nitumie email yako katika 0769779533. fanya ifuatavyo:Wadau naomba kujua ni ipi njia itayosaidia kwa mtu ambaye ukinywa maji ya kutosha kama inavyoshauliwa haipiti muda mrefu unaanza safari za kwenda kukojoa mara kwa mara?
hii hutokea kwakuwa mwili haujazoea lakini tatizo hili halitakuwepo baada ya muda,pia mwili kwa kawaida unaweza kutumia glasi moja tu ya maji kila nusu saa kwahiyo ukinywa zaidi ya hapo lazima utasikia haja ndogo,pia wataalamu wanasema usinywe maji mengi wakati wa usiku,ukijisahau na ukinywa maji mengi usiku na hutaki kuamka kila mara lamba kijiko kimoja cha asali lakini usifanye hivi kila mara.Wadau naomba kujua ni ipi njia itayosaidia kwa mtu ambaye ukinywa maji ya kutosha kama inavyoshauliwa haipiti muda mrefu unaanza safari za kwenda kukojoa mara kwa mara?