Yaani watu kama ninyi hata siwaelewagi.Naona kuna uchawi ndani yako.Kuhusu tundu kuwa raisi Naomba tusahau
kwa hiyo hii siyo awamu ya sita?Makamu wa raisi ni part and parcel ya presidency Sheria inatambua John na Samia ndio waliounda baraza kwa hivyo halivunjwi bali anarithi .........
But as days goes by anaweza kulibadirisha atakavyo akishauriana na makamu wake......ie nyofoa huyu weka yule nk....lakini hawezi kulivunja lote kwa wakati mmoja kwa kuwa hakuna serekali mpya hapo inayoingia madarakani ni ile ile