Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Mama tengeneza serikali yako, piga chini Mwigulu Nchemba, Palamagamba, na Ndungulule.
Piga chini Gwajima tengeneza safu yako
Piga chini Gwajima tengeneza safu yako
Huyu Mwigulu Nchemba ndiyo kichefuchefu kabisa,sijawahi kumuelewaMama tengeneza serikali yako, piga chini Mwigulu Nchemba, Palamagamba, na Ndungulule.
Piga chini Gwajima tengeneza safu yako
Unataka awaweke akina Halima Mdee?Mama tengeneza serikali yako, piga chini Mwigulu Nchemba, Palamagamba, na Ndungulule.
Piga chini Gwajima tengeneza safu yako
Siwajui, ndio kina nani hao?Unataka awaweke akina Halima Mdee?
Wabunge wa CHADEMA!Siwajui, ndio kina nani hao?
CHADEMA haina wabungeWabunge wa Chadema!
Hiyo ni haki yake,anaruhusiwa kulivunja na kuliunda.Na Kama anaapishwa kwenda kuwa Rais mwenye mamlaka kamili vipi soon baada ya kuapishwa akitangaza kulivunja baraza lote la mawaziri?
Atalivunja, soon or later. Ni dhahiri kwamba Rais Samia angependa kuongoza Baraza la Mawaziri alilolichagua yeye na si mwingine. Atalivunja tu.ead my lips!Na Kama anaapishwa kwenda kuwa Rais mwenye mamlaka kamili vipi soon baada ya kuapishwa akitangaza kulivunja baraza lote la mawaziri?
Hapo hajala kiapo mbele yake. Alikula kiapo mbele ya rais alie muapisha. Ndio maana wakati una kula kiapo lazima umuangalie anae kulisha kiapo kwamba utamtii. Na usipo mwangalia hutakiwa kurudia kiapo chako. Kama ndio hivyo basi hata mama alisha kula kiapoKatiba ndiyo inasema hivyo? siku zote wakati wa uapisho makamu uwepo kwenye ukumbi au hiyo sio kula kiapo mbele yake?
Lisemwalo lipoKuhusu tundu kuwa raisi Naomba tusahau
Kuna waliobeba SMG kummaliza,wameondoka wao Tena kifala tu pamoja na ubabe wote. Wenye upevu wa akili wanajua.Kuhusu tundu kuwa raisi Naomba tusahau
Utasubiri sana! Subiri Saccos yako ikiingia madarakani baada ya miaka 100.Mama tengeneza serikali yako, piga chini Mwigulu Nchemba, Palamagamba, na Ndungulule.
Piga chini Gwajima tengeneza safu yako
Ili kuweza kujua ni serikali mpya au ya zamani ni lazima tujibu hili swali;Hawezi kulivunja baraza kwasababu hii sio serekali mpya....yy ni mrithi tu wa kiti cha uraisi
Saccos yangu ni ipi? Sina vicoba, saccos wala chochoteUtasubiri sana! Subiri Saccos yako ikiingia madarakani baada ya miaka 100.