Ana nguvu hizo ata zaku mtoa pole pole bungeni na covid 19 zoteNa Kama anaapishwa kwenda kuwa Rais mwenye mamlaka kamili vipi soon baada ya kuapishwa akitangaza kulivunja baraza lote la mawaziri?
Kabisa yaniIli atende vizuri na kutimiza ndoto za wananchi inabidi alivunje aanze upya...
Hawezi kulivunja baraza kwasababu hii sio serekali mpya....yy ni mrithi tu wa kiti cha uraisiNa Kama anaapishwa kwenda kuwa Rais mwenye mamlaka kamili vipi soon baada ya kuapishwa akitangaza kulivunja baraza lote la mawaziri?
Aweke uwanja sawa na Katiba mpya Tume HURU hapo sawaMama Samia anamalizia ngwe waliyoanza na John Pombe Magufuli
Yeye ataanza ngwe yake kamili kwake 2025-2035
Mungu wa mbunguni amtunze
Uchunguzi gani tena??Atengue Mkuu wa Wilaya ya Hai ili uchunguzi uanze mara moja
Wa kupora na kunyanyasa Wafanyabiashara katika mpango wa kuwaumiza kiuchumi wanaKilimanjaroUchunguzi gani tena??
Mrithi hana mamlaka ya alichorithi na kukitumi kwa namna anayoona inafaa?Hawezi kulivunja baraza kwasababu hii sio serekali mpya....yy ni mrithi tu wa kiti cha uraisi
Waziri Mkuu ni kiongozi wa shughuli za serekali bungeni na ndie bosi wa mawairi kwa hivyo anapojiuzuru anakuwa amepoteza confidence ya baraza zima.....kwa hivyo baraza lazima livunjwe lote.Kama hoja ni kuwa hakuna serikali mpya inayoingia nini logic ya Baraza kuvunjika anapojiuzuru Waziri mkuu au akijiuzuru Waziri mkuu Kuna serikali mpya inaingia?
mwamba unajua kuwakera mataga, aaaaaacheni niwakerrrrrrrrrrrrrre.
Nilikuwa nataka Kuchangia ila kwa Ukweli mtupu uliouandika hapa sioni haja tena kwani umemaliza kila Kitu Ndugu na Heko sana tu.Mama kama anataka kweli ajijengee imani kwa Watanzania wengi, alivunje tu hilo Baraza lililojaa wanafiki, wachumia tumbo na waimba mapambio.
Na Majaliwa asiachwe kuendeleza uongo wake! Naye abakie tu na Ubunge wake.
njoo kwenye mada husika acha uchawi wakoKuhusu tundu kuwa raisi Naomba tusahau
Hapo uliposema 2025 -2035 huna budi kurejea kusoma tena katiba inasema nini, kama atagombea tena basi ni term moja yaan 2025-2030Mama Samia anamalizia ngwe waliyoanza na John Pombe Magufuli
Yeye ataanza ngwe yake kamili kwake 2025-2035
Mungu wa mbunguni amtunze
Baraza la Mawaziri linabaki hiyo hivyo, ila kama Rais haimzuii kupanga safu yake muda wowote ikimpendeza.Ninajua kuwa Waziri Mkuu akifariki au kujiuzulu basi Baraza la mawaziri huhesabika kuwa limevunjika.
Pia muda mchache kabla ya Rais mteule kuapishwa Baraza la mawaziri huvunjika.
Lakini Katiba yetu ipo kimya juu ya nini hutokea pale Rais anapokuwa amefariki. Je Baraza la mawaziri huendelea na kazi?
Je, punde kabla ya Samia Suluhu Hassan kuapishwa Baraza la mawaziri halivunjiki? Na pengine je baada ya kuapishwa Baraza la mawaziri la Magufuli litaendelea au Mheshimiwa Samia atatakiwa kuja na Waziri mkuu wake, na Baraza la mawaziri lake?
Wataalamu wa sheria na utawala tupeni mwongozo
Viongozi wote wakuu lazima wale kiapo mbele ya rais.Mama Samia anamalizia ngwe waliyoanza na John Pombe Magufuli
Yeye ataanza ngwe yake kamili kwake 2025-2035
Mungu wa mbunguni amtunze