so law
Senior Member
- Dec 24, 2018
- 101
- 269
Yaani nashangaa inamaana upinzani tumekosa kabisa sera Na mikakati ya kuiondoa CCM mamlakani 2020??
nachukizwa na jinsi upinzani ulivogeuka mtetezi wa kila mwana ccm anaonekana yupo tofauti na magufuli...!
Guys ccm wana chama chao na mambo yao wanayajua wenyew.
Leo hii watu tena viongozi wakubwa upinzani mnamshupalia BERNARD MEMBE kweli Jaman...??
Yaani MEMBE anaonekana shujaa leo kwa Kisa tu yupo against na magu.!
Let's be real.. Kina MEMBE hawa ndo walikuwepo awamu ambayo tuliwapoteza watu na wengine waliteswa (Dr. Ulimboka, na kina mvungi.) hakuna jipya ndani ya ccm trust me HAKUNAAA!!!!
Yaani kina Nape nauye siku hizi ndo mabest zetu wezi mashuhuri wa kura, wanaonekana mashujaa..!
Tumetingwa na kina MEMBE mpka tunasahau kuna CHUMA kipo ubelgiji .
OK fine vipi CCM wakisema 2020 MEMBE anasimama kugombea urais tutarudi na hoja gani ikiwa sasa hv tunamapmba kwamba ni ni "MWANADIPLOMASIA, MWANA DEMOKRASIA anastahili kuwa RAIS. "
Tutakuja na mbinu gani tena kumtetea atakae kuwa mgombea wetu.!?
Wake up guys.
We better than that.!
nachukizwa na jinsi upinzani ulivogeuka mtetezi wa kila mwana ccm anaonekana yupo tofauti na magufuli...!
Guys ccm wana chama chao na mambo yao wanayajua wenyew.
Leo hii watu tena viongozi wakubwa upinzani mnamshupalia BERNARD MEMBE kweli Jaman...??
Yaani MEMBE anaonekana shujaa leo kwa Kisa tu yupo against na magu.!
Let's be real.. Kina MEMBE hawa ndo walikuwepo awamu ambayo tuliwapoteza watu na wengine waliteswa (Dr. Ulimboka, na kina mvungi.) hakuna jipya ndani ya ccm trust me HAKUNAAA!!!!
Yaani kina Nape nauye siku hizi ndo mabest zetu wezi mashuhuri wa kura, wanaonekana mashujaa..!
Tumetingwa na kina MEMBE mpka tunasahau kuna CHUMA kipo ubelgiji .
OK fine vipi CCM wakisema 2020 MEMBE anasimama kugombea urais tutarudi na hoja gani ikiwa sasa hv tunamapmba kwamba ni ni "MWANADIPLOMASIA, MWANA DEMOKRASIA anastahili kuwa RAIS. "
Tutakuja na mbinu gani tena kumtetea atakae kuwa mgombea wetu.!?
Wake up guys.
We better than that.!