Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,720
Kwa boxer hizo ni kilometre chache mno!Chief hapa mtaani zipo boxer zinapiga mpaka 12km per litre, ni uchezeaji tu carburetor
Kwa boxer hizo ni kilometre chache mno!Chief hapa mtaani zipo boxer zinapiga mpaka 12km per litre, ni uchezeaji tu carburetor
Gari ni kali hakuna mfano af ipo comfortable sana!Toyota Crown gari inayo kuja kwa kasi ya ajabu, hizi gari ukienda Mwanza zimenunuliwa balaa pamoja na Mark X. Kitu kipya hicho kama unahitaji nicheki pm. View attachment 715472
Gari nzuri sana aisee, iko poa sana. Kwa safari za masafa marefu utaipenda zaidi.Gari ni kali hakuna mfano af ipo comfortable sana!
we are waiting for yousoon nitarudi usijali mkuu
Mh! Imekuwa BM150 au?Me ka Vitz kangu ka 2006 kanaburuza 70km per litre
Huko igunga ndani kuna msela alifuata ushauri kama huu wako akanunua zake ka Honda fit ya 2003 muda wa kutafuta spear ndipo alikuja kujua kwa nini Toyota ni mkombozi wa wanyonge.Tunapenda kununua tu gari kwa kuigana bila research lakini kuna gari huko duniani (Japan) very cheap
Kama ni vipuli twaweza nunua kwa wingi zikashuka bei. Wabongo wanagezana kama ilivo kwa kufanya biashara. Angalia saiz legacy inavokuja juu.
Honda, na mitusubishi wana vigari very economical. Ila hizi saresare maua hapana kwa mimi.
Kuna kitoyota Belta pia hakijawa maarufu sana ila mafuta kama Vitz maana ni kizazi kimoja
Ist si moja ya gari nafuu, m13 is cheap? Passo m8 vits m8, ractis siipendi shape yake hata cjawah hata uliza bei yake1.Body Structure yake imekaa ki ugumu hivyo hata ukilata mikwaruzo si ile gari unaweza poteza hamu kutembea nayo barabarani.
2.Ulaji wa mafuta zipo injini mbili 1.3 na 1.5 sawa sawa na Vitz ulaji wake sababu ni Injini ile ile vvti.
3.Upatikanaji wake wa vipuri ni rahisi kwa hapa mjini kama si nchini kutokana na wingi wake.
4.Halafu katika gari za bei nafuu ndio imara zaidi ukilinganisha Racts,Vits,Passo......
POA POAwe are waiting for you