Nini siri ya watu wengi kumiliki Toyota IST?

Toyota Crown gari inayo kuja kwa kasi ya ajabu, hizi gari ukienda Mwanza zimenunuliwa balaa pamoja na Mark X. Kitu kipya hicho kama unahitaji nicheki pm.
tapatalk_1521105851346.jpeg
 
DSCN0980.JPG
habari ya mjini ni phoenix farmer new model
engine capacity 12cc
1 dynamo headlight
gross weight 27kg
max speed 120km/h
tyres all terrain A/T
rim size 18"
alloy rims
passengers 2-3

pia kuna mashine ingine
phoenix sports 1800
engine capacity 12cc
passenger 1
max speed 140km/h
tyres all terrain
transmission: manual 5 gear
gross weight 23kg
phoenix-1800.jpg
DSCN0980.JPG
DSCN0980.JPG


mashine hizi zimeuza sana kwenye showroom za Mwanza, Geita, Shinyanga, Tabora, Kahama na Kigoma.
zinauwezo wa kubebq gunia la mahindi bila shida
 
Tunapenda kununua tu gari kwa kuigana bila research lakini kuna gari huko duniani (Japan) very cheap

Kama ni vipuli twaweza nunua kwa wingi zikashuka bei. Wabongo wanagezana kama ilivo kwa kufanya biashara. Angalia saiz legacy inavokuja juu.

Honda, na mitusubishi wana vigari very economical. Ila hizi saresare maua hapana kwa mimi.

Kuna kitoyota Belta pia hakijawa maarufu sana ila mafuta kama Vitz maana ni kizazi kimoja
Huko igunga ndani kuna msela alifuata ushauri kama huu wako akanunua zake ka Honda fit ya 2003 muda wa kutafuta spear ndipo alikuja kujua kwa nini Toyota ni mkombozi wa wanyonge.

Spear alituma watu kucheki Mwz hakuna kitu mpk aanze kufuatilia spear huko Dar si mchezo,hapo ka usafiri kake kapo juu ya mawe tu.
 
1.Body Structure yake imekaa ki ugumu hivyo hata ukilata mikwaruzo si ile gari unaweza poteza hamu kutembea nayo barabarani.
2.Ulaji wa mafuta zipo injini mbili 1.3 na 1.5 sawa sawa na Vitz ulaji wake sababu ni Injini ile ile vvti.
3.Upatikanaji wake wa vipuri ni rahisi kwa hapa mjini kama si nchini kutokana na wingi wake.
4.Halafu katika gari za bei nafuu ndio imara zaidi ukilinganisha Racts,Vits,Passo......
Ist si moja ya gari nafuu, m13 is cheap? Passo m8 vits m8, ractis siipendi shape yake hata cjawah hata uliza bei yake
 
Mimi naipenda sana VW golf ila hizi story za spare spare hasa sisi tunaoishi Namtumbo huku ..hapana tunajikuta humo humo kwa IST
 
Back
Top Bottom