Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,950
- 69,239
soon nitarudi usijali mkuusiku hizi umekua kimya tumemiss ile 'be the first to comment'
soon nitarudi usijali mkuusiku hizi umekua kimya tumemiss ile 'be the first to comment'
Ficha upumbavu wako, wakati mwingine mpumbavu akikaa kimya huhesabiwa hekima.gari za walemavu hizo
VX lako linakula kms ngapi kwa lita?Hahahah naskia hako ka lunch box kanafika mpaka 15kms per litre hivi ni kweli!?
Kati ya 7-10kms kiongoziVX lako linakula kms ngapi kwa lita?
Maisha ya mdudu hahahaha!!! Hata pikipiki ya boxer yenyewe haitoboi hapo!Me ka Vitz kangu ka 2006 kanaburuza 70km per litre
Chief hapa mtaani zipo boxer zinapiga mpaka 12km per litre, ni uchezeaji tu carburetorMaisha ya mdudu hahahaha!!! Hata pikipiki ya boxer yenyewe haitoboi hapo!
DashBoard visible to all passengersfafanua
Safi kabisa. Unalipa kodi vizuri. Sasa fanya mpango ununue helikopta ili uachane na adha ya kupishana na vibaby walker mtaani.Kati ya 7-10kms kiongozi
Tunapenda kununua tu gari kwa kuigana bila research lakini kuna gari huko duniani (Japan) very cheap
Kama ni vipuli twaweza nunua kwa wingi zikashuka bei. Wabongo wanagezana kama ilivo kwa kufanya biashara. Angalia saiz legacy inavokuja juu.
Honda, na mitusubishi wana vigari very economical. Ila hizi saresare maua hapana kwa mimi.
Kuna kitoyota Belta pia hakijawa maarufu sana ila mafuta kama Vitz maana ni kizazi kimoja
Boxer inatoboaMaisha ya mdudu hahahaha!!! Hata pikipiki ya boxer yenyewe haitoboi hapo!
Acha masihara show room upate IST kwa 10m?ni gari nzuri kwa movement za mjini na ulaji wa mafuta ni mdogo na hata size, unaweza pack popote ,spea ziko nyingi ..ni kweli IST zimekua nyingi sana na za kila rangi
bei zake haizizidi 10 m..kwenye show room with full registration
Okay kiongozi nimeshaongea na mzungu toka canada ananiandalia utaratibu huo!Safi kabisa. Unalipa kodi vizuri. Sasa fanya mpango ununue helikopta ili uachane na adha ya kupishana na vibaby walker mtaani.
70km per litre????Boxer inatoboa