mwemweremwemwere
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 606
- 662
Ukiingia insta unakutana kibao, Snapchat wapo, kwenye Dating Apps huko ndo balaa, JF mama na FB ndo usiseme
Nimegundua hata wale maslay queen "wabinua viuno" ni memba wazuri wa kundi hili.
Hii kitu imenifikirisha sana. Ila ni wazi kuwa watu hawa bado wana kiu ya kumiliki wenza wao, lakini nimejiuliza tu;
Je, wameshindwa kabisa kurudisha moyo kwa waliozaa nao hapo mwanzo wakayajenga?
Je huko kitaa au makazini hawapati watu wanaoonyesha hisia kwao au wako busy kiasi hawapati muda wa kujimix wakapata wenza wapya ?
Kuna ticha aliwahi kunambia ukiwa na mtoto wa kike mchunge kwa masaa 24/7 dhidi ya jicho la mwanaume kwani hata pale unapohisi bintiyo yupo salama chumbani kwake, bado kuna mashababi wanammendea kwa kumpigia simu, kumgongea dirishani, kumchimbia vitobo nk. Inakuwaje sasa mwanamke huyu ambaye kwa nadharia ya mwalimu wangu anahitaji ulinzi kwa kuwa anawindwa masaa yote aonekane anahaha kiasi hiki kusaka mwenza?
Wakuu ni kwamba dunia imebadilika kiasi kwamba "seori" za yule ticha wangu hazifanyi kazi tena kwa saivi au?
Karibuni tujadili kwa amani.
Nimegundua hata wale maslay queen "wabinua viuno" ni memba wazuri wa kundi hili.
Hii kitu imenifikirisha sana. Ila ni wazi kuwa watu hawa bado wana kiu ya kumiliki wenza wao, lakini nimejiuliza tu;
Je, wameshindwa kabisa kurudisha moyo kwa waliozaa nao hapo mwanzo wakayajenga?
Je huko kitaa au makazini hawapati watu wanaoonyesha hisia kwao au wako busy kiasi hawapati muda wa kujimix wakapata wenza wapya ?
Kuna ticha aliwahi kunambia ukiwa na mtoto wa kike mchunge kwa masaa 24/7 dhidi ya jicho la mwanaume kwani hata pale unapohisi bintiyo yupo salama chumbani kwake, bado kuna mashababi wanammendea kwa kumpigia simu, kumgongea dirishani, kumchimbia vitobo nk. Inakuwaje sasa mwanamke huyu ambaye kwa nadharia ya mwalimu wangu anahitaji ulinzi kwa kuwa anawindwa masaa yote aonekane anahaha kiasi hiki kusaka mwenza?
Wakuu ni kwamba dunia imebadilika kiasi kwamba "seori" za yule ticha wangu hazifanyi kazi tena kwa saivi au?
Karibuni tujadili kwa amani.