Agogwe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 2,745
- 2,987
Chama Cha Mapinduzi kina watu makini na anasimamishwa mgombea makini. Sio oya oya umeelewa EnglishladyNamimi najiuliza
Hivi CCM wao huwa wanajaziwa na mwanasheria wao? Au wao wasomi Sana?
Daaaaaa
CCM haijawahi kosea kabisa
Maajabu ya dunia