Husitufanye hatujui kusoma sheria. Leo ndio ilikuwa siku rasmi ya kurudisha form tarehe 25/08/2020 kuanzia saa mbili mpaka kumi jioni. Wewe umeisoma sheria ipoMkuu kurudisha fomu ilikuwa ni siku yoyote baada ya kuichukua, leo ilikuwa siku ya mwisho, na ndio siku ya uteuzi wa wagombea. Pitia tena sheria vizuri boss.