Nini shida inayopelekea watanzania hatuweki movie NETFLIX?

Sidhani kama movie zetu zina viwango vya kuingia Netflix.

Nilishawahi kusikia soundtracks za interstellar, gladiator na transformers kwenye movie za bongomovie

Soundtracks ambazo huwa wanazitoa YouTube.

Tatizo kubwa jingine ni soundtrack kushindwa kuendana na scene ya movie husika.

Mpaka hapo hilo ni tatizo la kukosa ubunifu hivyo mtu anayejitambua hawezi kuangalia hizo movie.

Siku wakibadilika labda watu wataanza kuangalia movie zao.

Hakuna uzalendo kwenye vitu vibovu.
kwamba anayejitambua awezi kuangalia
 
Bongo tuna Maigizo tunayoyaweza,Uwezo wa kutoa filamu bado
 
Bongo ujinga mwingi script unaandika kwa saa 4 tu, hamna cha maana kabisa zaidi "baada ya Juma kumuona amina baa na Sadiki aliwasogelea wakati huo huo akatoa postol yake aloitunza kiunoni mwake,
"siamini unanifanyia hivi Amina(Juma anaanza kulia)"

"Hee ilitaka nifanyeje sasa ? (ki soundtrack uchwara kinaanza ndi ndi ndi)" mara giza

WATCH OUT PART TWO.

Ukiachana na soga za hapo juu kuna sababu kama tatu za msingi zinazofanha movie zetu ziwe below the line .

1. Kazi kufanywa na watu wasio na elimu/vipaji/ Utaalamu wowote ule.

Umebangaiza na kununua camera huyo ushakuwa director, baada ya kupata software ya Adobe Premiere ambayo nayo hata ujai 'master' vizuri unaanza kuganga njaa mtahani kwa kupoka pesa za waigizaji ambao nao maybe hawana hata focus (a blind expected to tell the deaf that the road is narrowing ahead). Unakuta scene daktari anaongea na mgonjwa mcheki vizuri sasa ana rasta kichwani, sijui yuko busy mno hata nywele ajachana mbaya zaidi maneno anayoongea niya kipuuzi sana in short una take risk za ku 'act' scene ambayo hauna nayo any preliminary concept about.

2. Kuwa na haraka ya ovyo ovyo.

Muvi nyingi za bongo wanapenda kufikia mwisho mapema too pathetic!, scripts headless zinamuonesha mzee mmoja tajiri hivi akowa na trip za kutoka ofisini kwenda bar/home lakini nothing has been told clearly of his source of income, the business he has been into yaani mambo ya paa a guy is rich from nowhere.

3.Poor production and alot of blah blah.

Unaigiza muvi unataka u shoot lwa bajeti ya bei za matenga mawili ya mapapai , ujaandaa any costume, transport fare yaani plus na script taka taka.

The collection of our horrible stuffs had to be even dumped from Youtube or even be suspended from being aired for 3 years,something wonderful would have come and not this garbage bongo movie..

I am enraged and about to explode soon, I can' t bear writing any longer
 
Hivi wale waliofanya siri ya mtungi ni kampuni gani wale?Naona pale walijitahidi kiasi.
 
kweli bongo movie haijakidhi vigezo vya kuingia netflix but hizi wala zinaweza pewa kipaumbele

TUNU ( YA JB)
SUNSHINE(humo yumo benpol walau story hd movie ni very good embu kachekini mje mnipe mrejesho
 
Kaka kweli...Jini anacheka tu muda wote, mzimu anavuka barabara uku anaangalia kushoto na kulia, bado movie inaonesha madhari ya miaka ya 70's picha ukutani ni ya rais Samia, hatuwezi fika level hizo kwa ujinga mwingi
 
Bongo ujinga mwingi script unaandika kwa saa 4 tu, hamna cha maana kabisa zaidi "baada ya Juma kumuona amina baa na Sadiki aliwasogelea wakati huo huo akatoa postol yake aloitunza kiunoni mwake,
"siamini unanifanyia hivi Amina(Juma anaanza kulia)"

"Hee ilitaka nifanyeje sasa ? (ki soundtrack uchwara kinaanza ndi ndi ndi)" mara giza

WATCH OUT PART TWO.

Ukiachana na soga za hapo juu kuna sababu kama tatu za msingi zinazofanha movie zetu ziwe below the line .

1. Kazi kufanywa na watu wasio na elimu/vipaji/ Utaalamu wowote ule.

Umebangaiza na kununua camera huyo ushakuwa director, baada ya kupata software ya Adobe Premiere ambayo nayo hata ujai 'master' vizuri unaanza kuganga njaa mtahani kwa kupoka pesa za waigizaji ambao nao maybe hawana hata focus (a blind expected to tell the deaf that the road is narrowing ahead). Unakuta scene daktari anaongea na mgonjwa mcheki vizuri sasa ana rasta kichwani, sijui yuko busy mno hata nywele ajachana mbaya zaidi maneno anayoongea niya kipuuzi sana in short una take risk za ku 'act' scene ambayo hauna nayo any preliminary concept about.

2. Kuwa na haraka ya ovyo ovyo.

Muvi nyingi za bongo wanapenda kufikia mwisho mapema too pathetic!, scripts headless zinamuonesha mzee mmoja tajiri hivi akowa na trip za kutoka ofisini kwenda bar/home lakini nothing has been told clearly of his source of income, the business he has been into yaani mambo ya paa a guy is rich from nowhere.

3.Poor production and alot of blah blah.

Unaigiza muvi unataka u shoot lwa bajeti ya bei za matenga mawili ya mapapai , ujaandaa any costume, transport fare yaani plus na script taka taka.

The collection of our horrible stuffs had to be even dumped from Youtube or even be suspended from being aired for 3 years,something wonderful would have come and not this garbage bongo movie..

I am enraged and about to explode soon, I can' t bear writing any longer
tusubiri ya idris sultan

idris.png
 
Bado naendelea kuuza channel ya Netflix ikiwa Na unlimited bandle utatumia badi miaka 2 bila kujiunga kifurushi
 
Back
Top Bottom