Nini sabuabu za nwili kuwasha jf

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Ni muda kidogo nimepata kuombwa msaada wa dada anayehisi wmili wake kuwasha kwa ndani na anahisi ni katika mfumo wa damu hususani mikononi na mgongoni.
Kwli nilishindwa kumsaidia walau hadi nipate maoni kutoka kwenu wadau

Plase am looking foward for genuine assistance to that dada
Thanks very much JF Doctors
 
Kwanini mnapenda kuja na careof,kwanini usiseme ni mimi mwenye matatizo hayo??? mnabore jama kila mtu oh nina rafiki yangu anatafuta mchumba oh nina rafiki yangu ana maziwa madogo oh mara nina rafiki yangu anatoka na damu kwenye uume khaaaa tumechoka waambie waje wenyewe kufungua account JF ni Bureeeeeeee,Hayo mambo ya careof hatujibu
 
Back
Top Bottom