Nini sababu za huduma za Voice mail, MMS NA Face App hazifanyi kazi?

Redpanther

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
2,813
3,767
Heri ya Mwaka Mpya 2021,

Habari gani wakubwa na wadogo humu jamvini.! Natumaini hamjambo kabisa.

Acha niende kwenye mada moja kwa moja.! Kama maada inavyojieleza. Tangu teknolojia ya simu janja ifike Afrika ya mashariki hasa hasa Tanzania, tumekuwa tukiitumia in built Message app ya simu zetu kwa ajili ya Kutuma text za herufi pekee yake lli hali message app (Regardless ni iOS, Android au Huawei ) Hizi huduma hazikubali ku operate kwa Tanzania!

Ukiachana na hiyo pia kuna huduma nyingine kama
1. Voicemail
2. Faceapp

Hizi huduma hapa Kwetu Tanzania hazipo, je kuna sababu zozote nisizozijua .!?? Au kama zipo anayejua namna ya set up ili uweze kutumia.

Karibu tujadili .!
giphy.gif
 
@Tech
@Iceberg9
@ios
Nimewatag nikiamini mnaweza kuwa na majibu kama huna majibu nisaidie kumtag mwana JF ambaye ni mbabe wa Tech issues.! Natanguliza shukrani
 
Jiwe sasa anaipimia YouTube aifanyie kama alivyoifanyia Twitter nahisi atakuwa ana maslahi kwenye kampuni za VPN maana kila anapoblock baadhi ya social network mapato ya kampuni zinazouza VPN yanapanda
 
Kwa voicemail nadhan zipo ila mpk uende kwao wakuwekee.

Nakumbuka hapo nyuma Tigo na Voda walikua na voicemail support kwa kila mtu ila wakaja kuitoa. Nadhan kwasababu haina soko

MMS zipo hadi leo mbona. Kma vodacon huwa wanakutumia kabisa MMS settings

Ila kwa upande wa SMS sashv dunia inahamia kwenye RCS (Rich Communication services) ambayo kwa sasa ipo active kwenye Messages app ya Google na Samsung Messages app (ya samsung inafanya kazi nchi chache tu na inategemea na carrier).

Hii RCS inakuwezesha kutuma high quality pictures, videos, kupata read status na typing status kma WhatsApp ilivyo ila inakua ndani ya Messaging app. Inatumia internet ikiwepo, internet isipokuwepo inatumia SMS kma fallback mechanism. Hii unaweza test mwenyewe sasahv. Jiunge Google Messages Beta na utaweza kuaccess hii bila shida. Mm naitumia na baadhi ya ndugu zangu

Screenshot_20210101-190517.jpg


Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Kwa voicemail nadhan zipo ila mpk uende kwao wakuwekee.

Nakumbuka hapo nyuma Tigo na Voda walikua na voicemail support kwa kila mtu ila wakaja kuitoa. Nadhan kwasababu haina soko...
Naaam Naaam Mkuu,Umenena Kweli.
 
Kwa voicemail nadhan zipo ila mpk uende kwao wakuwekee.

Nakumbuka hapo nyuma Tigo na Voda walikua na voicemail support kwa kila mtu ila wakaja kuitoa. Nadhan kwasababu haina soko....
Ahsante Mkuu majibu yako mazuri, Mimi ni iOS user. Una uelewa wowote jinsi gani kuwezesha huduma hii?
 
Ahsante Mkuu majibu yako mazuri, Mimi ni iOS user. Una uelewa wowote jinsi gani kuwezesha huduma hii ??
Apple kma kawaida ni wasumbufu na wanapush proprietary standards za iMessage kwahyo bado hawajawezesha RCS na hawajasema kma watawezesha kwenye simu zao.

Hawawezi kubali kuachia iMessage kwasababu ndio inahakikisha wateja wao huko US bado wananunua iPhone. Bila iMessage Apple wanaweza poteza soko kubwa sana US. Unajua watu wengi US hawatumii WhatsApp wala Telegram na wanategemea iMessage na MMS/SMS na Facebook messenger. Ndio mambo ya Green bubble vs Blue bubble yalipotokea.

iMessage imewafanya watu wengi US kutumia iPhone, wakiachia hii na kuruhusu RCS ambayo ni kma iMessage kwa Android itawaumiza.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Heri ya Mwaka Mpya 2021
Habari gani wakubwa na wadogo humu jamvini.! Natumaini hamjambo kabisa...
voicemail ipo shida ni kwamba walikuwa wakikata salio bila watu kujua wakaiondoa by default, na wengi walikuwa wanaipotezea. kuna miaka kadhaa nyuma ukipiga simu kama mtu hapatikani walikuwa wakikuambia kabisa acha ujumbe wa sauti, na hata ukipiga simu huduma kwa wateja mara nyingi option ya kwanza ni huduma ya ujumbe wa sauti.

mms ipo sema inakuwa na setting separate, yenyewe inakuwa ni kama wap setting setting zake apn ni mms na kunakuwa na proxy na port unajaza. ila ni huduma ya kizamani imekuwa replaced na RCS kama mdau hapo juu alivyosema
 
Apple kma kawaida ni wasumbufu na wanapush proprietary standards za iMessage kwahyo bado hawajawezesha RCS na hawajasema kma watawezesha kwenye simu zao....
There you are, leo nilikuwa naangalia namna ya kupata Blue bubbles kwenye meseji..! Nimeshindwa kupata jawabu la mpangilio utakao nipa Blue bubbles. Lakini pia nikaingia apple platform nikakuta discusion juu ya Blue Vs Green bubbles ..! Ikaonekana inaonekana tu kwa wale ambao imessage inafanya kazi
 
There you are, leo nilikuwa naangalia namna ya kupata Blue bubbles kwenye meseji..! Nimeshindwa kupata jawabu la mpangilio utakao nipa Blue bubbles. Lakini pia nikaingia apple platform nikakuta discusion juu ya Blue Vs Green bubbles ..! Ikaonekana inaonekana tu kwa wale ambao imessage inafanya kazi
iMessage hapa bongo inafanya kazi ila kuactivate lazima wakate kma sh 200 na kitu hvi kwenye salio lako kwaajili ya kurequest activation code kutoka Apple (hii inafanyika internally). Lakini pia iMessage mara nyingi inagoma kuactivate kma simu yako ni refurbished na imeshatumiwa kuactivate Apple ID nyingi

Na utapata Blue bubbles kwa watu walioactivate iMessages pia. Hata kama ana iPhone, lazima awe ameactivate iMessage na iwe inafanya kazi.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
iMessage hapa bongo inafanya kazi ila kuactivate lazima wakate kma sh 200 na kitu hvi kwenye salio lako kwaajili ya kurequest activation code kutoka Apple (hii inafanyika internally). Lakini pia iMessage mara nyingi inagoma kuactivate kma simu yako ni refurbished na imeshatumiwa kuactivate Apple ID nyingi

Na utapata Blue bubbles kwa watu walioactivate iMessages pia. Hata kama ana iPhone, lazima awe ameactivate iMessage na iwe inafanya kazi.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app

Mie nina simu mbili, zote ni Apple products.
Iphone 6 plus na Iphone 8 plus. Ninajaribu kuziwekea setting lakini still imessage haipigi kazi
 
Kwa voicemail nadhan zipo ila mpk uende kwao wakuwekee.

Nakumbuka hapo nyuma Tigo na Voda walikua na voicemail support kwa kila mtu ila wakaja kuitoa. Nadhan kwasababu haina soko....
Natumia hii feature kwenye Google Message App yao ni nzuri make sms hazifail kwanza na zina delivered faster sana.. Sema lazima unaochat wote muwe mmewezesha hii feature!
 
Back
Top Bottom