Nini sababu ya shule za Kiislamu kuungua kipindi hiki? Mivumoni Islamiki nayo inaungua muda huu!

Usipowaonea huruma maana yake unaungana na wanaowahujumu!!

Wahujumu popote pale walipo ni majambazi tu, na uhujumu wa namna yoyote haukubaliki na Wala haukufanyi wewe uuone kuwa mahali mahali Fulani haufai na mahali Fulani unafaa Kwa kuwa Tu Eti mahali Fulani wanahujumuiana,
Sawa naungana nao.
 
Back
Top Bottom