Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Hatua ya Nape kutoa pendekezo la kukutana viongozi wa CCM na Chadema kujadili kuhusu kupinga malipo ya Dowans si kitu cha kukichukulia kiulaini, nyuma ya pazia kuna kitu kinachozungukwa na hivyo kutafuta weak point kukutana na Chadema ili kufunika jambo fulani.
Mengi yametokea huko Igunga na bado yanaendelea kutokea na hivyo kuleta maswali wengi yasiyojibika.
Je? CCM yataka kujisafisha?
Chadema wakubali kukutana nao?
Nini nyuma ya pazia la CCM?
Mengi yametokea huko Igunga na bado yanaendelea kutokea na hivyo kuleta maswali wengi yasiyojibika.
Je? CCM yataka kujisafisha?
Chadema wakubali kukutana nao?
Nini nyuma ya pazia la CCM?