Nini sababu ya Mwanaume kupelekeshwa na Mwanamke na asiongee chochote?

Mboka man

JF-Expert Member
Aug 22, 2020
478
1,638
Iwe katika mahusiano au ndoa asilimia kubwa ya wanaume wamekuwa wakipelekeshwa na wanawake zao na wasiongee kitu uwe na hela usiwe na hela.

Mwanaume utapelekeshwa kama mtoto huongei kitu wengine wanaenda mbali zaidi hata mama yako anamdharau na ndugu zako unaona kabisa hayupo sahihi ila unaogopa kuongea.

Shida ni nini?
 
Mashetani yakioana ni shida kwa wacha Mungu.

Yanajionea sawa tu huku wacha Mungu wanaumia kwa mambo yasiyo wahusu.

Kila kiumbe kuna anayelandana naye.
 
Mimi kupelekeshwa kabla ya game ni kawaida. Nikismash mara tatu tu naota kwanza mapembe, halafu baadaye naota mbawa.
Umenikumbusha hapo nyuma. nilikuwa na tabia hiyo. ila sikuizi ni either mwanamke akubali rules zangu au atoke kabisa.
hamna neutral ground au makubaliano. if hafuati order ni over and out. haijalish ni mzuri kiasi gani.
 
umenikumbusha hapo nyuma. nilikuwa na tabia hiyo. ila sikuizi ni either mwanamke akubali rules zangu au atoke kabisa.
hamna neutral ground au makubaliano. if hafuati order ni over and out. haijalish ni mzuri kiasi gani.
Hapo sasa inategemea kwenye muunganiko huo wewe unaoffer kitu gani.

Mfano mimi hua naoffer uanaume wangu tu, nothing more, so kucompromise ni lazima.
 
Wanaume wenzangu niwajulishe kitu kwa hawa wanawake wa kizazi hiki ambao mnawaona wakati wa kufunga ndoa wanakusanyika na kumshauli bibi harusi ,unajua wanamshauri nini ? Mashauri yenyewe ndo haya

1.Pesa ya mwanaume ni ya familia ya mwanamke ni yake pekee 2.Hakikisha unamjali mmeo lakini usimpende ila muheshimu ila sio kumtii kivile.

3.hakikisha una mtu wa pembeni ili yakiharibika unapaku kujificha (wanamalizia na kusema wanaume hawatabiliki)

4.hakikisha unampelekesha kisawasawa hata akikuacha usijutie.

5.hakikisha unamiradi ya vitega uchumi pembeni na mmeo mtarajiwa asijuwe vitakusaidia siku mambo yakibuma yatusaidia. Haya maagizo ni ya siri sana tena mimi mwenyewe ni mfukunyua dada mmoja kungwi ndo amenitajia.

Yani kiufupi wanawake wengi wao wanaingia kwenye ndoa kivita zaidi ndo mana unaona wanaume wakipelekeshwa hivo .

Ushauri wanaume tafuteni wanawake wanawo wapenda na wenye hofu ya mungu mbona wapo.hawa wengine wemejaa visasi na mawazo mabaya juu ya wanaume usijechichanganya ukaoa mmoja wao hayo ya mleta mada lazima yakuhusu.pia na sisi tuache kuchezea shilingi chooni.
 
Iwee katika mahusiano au ndoa asilimia kubwa ya wanaume wamekuwa wakipelekeshwa na wanawake zao na wasionge Kitu
Kuna dada mmoja alitaka kunipelekesha kama hivyo kwa kisingizio kwamba "Sisi wanawake, tuna midomo sana, hamuwezi kutushinda na sisi katika kuongea" na mimi nikamjibu "sisi wanaume tuna makofi mazito sana, hamuwezi kutushinda na sisi kwenye kuwatandika vibao" ikabidi awe mpole kwangu.

Mwanaume lazima awe na maamuzi ya mwisho ndani. FULL STOP.
 
Kuna dada mmoja alitaka kunipelekesha kama hivyo kwa kisingizio kwamba "Sisi wanawake, tuna midomo sana, hamuwezi kutushinda katika kuongea" na mimi nikamjibu "sisi wanaume tuna makofi mazito sana, nitauchakaza uso wako" ikabidi awe mpole kwangu.

Mwanaume lazima awe na maamuzi ya mwisho ndani. FULL STOP.
😂😂😂😂😂😂😂
 
kila mtu ana aina yake ya mapenzi
kuna ya kisela na ya ndio mzee
tusipangiane wengine tunahitaji hela ili kuyalinda mapenzi yetu
 
Kusahau nafasi yako kama mwanaume na kumruhusu mwanamke wako kuichukua.

Uwe na pesa, uwe michepuko, uwe masiraha, uwe na muscles, uwe na miradi kila sehemu hivi vyote havikukingi zidi ya kuendeshwa na mwanamke kama tu utasahau nafas yako ndani ya familia kama mwanaume na kama baba
 
Kusahau nafasi yako kama mwanaume na kumruhusu mwanamke wako kuichukua.

Uwe na pesa, uwe michepuko, uwe masiraha, uwe na muscles, uwe na miradi kila sehemu hivi vyote havikukingi zidi ya kuendeshwa na mwanamke kama tu utasahau nafas yako ndani ya familia kama mwanaume na kama baba
True mkuu, I learning some thing
 
Be a man that she cant control and break her rules sometimes. Do what she always say not to. Women are emotional beings...akileta mdomo sana sana m.tombe haswa
 
Back
Top Bottom