Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,175
- 22,566
Sawa umesikika ntazingatia dadaSuluhu ni kwenda kumuona daktari tu kwani ndio atakayejua ni dawa gani inafaa kwa hali ya sikio lako ukitaka dawa huku utakuwa unabahatisha tu.
Sawa umesikika ntazingatia dadaSuluhu ni kwenda kumuona daktari tu kwani ndio atakayejua ni dawa gani inafaa kwa hali ya sikio lako ukitaka dawa huku utakuwa unabahatisha tu.
Kumbe msongo ni shidaMasikio kuwa na uchafu sidhani kama yanaweza kumfanya mtu asisikie vizuri kwa sababu asilimia kubwa ya watu hawajawahi kusafisha masikio tangu wakiwa wadogo ila wanasikia vizuri tu. Huenda ana msongo wa mawazo unaomfanya apoteze concetration.
Na sikio linalounguruma?Nenda hospitali waangalie kama una wax, kama ipo utafanyiwa ear irrigation, wana flash wax na warm water inatoka.
Vipi hali yako ya pua, hupati mafua ya mara kwa mara.Habari nina shida na kujua nini tiba kamilifu ya sikio langu maana halisikii vizuri nimetumia dawa nyingi lakini sijapona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa kama anapata mafua ya mara kwa mara?Vipi hali yako ya pua,hupati mafua ya mara kwa mara
Na mimi nasubiria jibu.Vipi hali yako ya pua,hupati mafua ya mara kwa mara
Pole.Asante kwa kutupa pole wale tusikiao kwa sikio moja. Sikuwa najua kwamba Binadamu husikia kwa masikio yote mawili na hivyo sikuwa na wasiwasi hadi pale nilipoanza shule ndio nikagundua matatizo niliyozaliwa nayo. Namshukuru Mungu kwa kunifikisha hapa nilipo leo ingawa kwa sasa uwezo wa kusikia unazidi kupungua.
Umejaribu hospitali?Jamani nami nasumbuliwa na tatizo hili la kutokusikia yaani naweza sikia lakini nisielewe kinachozungumzwa,pia uchafu hautoki masikioni kiasi kwamba yameziba hata maji hayapiti.Naombeni ushauri wenu wapendwa
Hiyo dawa inasaidia nn Dada Jo?Umejaribu hospitali?
Ipo dawa fulani nzuri sana ya maji unaweka drop moja tu kila siku usiku...nikiikumbuka nitatuma picha
Cha msingi usiingize chochote katika sikio
Ohh okay, Ahsante!Inasaidia kutoa uchafu uliopo masikioni mkuu kuntubaby yani ukiweka hizo drops kama siku tatu tu uchafu unaanza kutoka wenyewe